Maofisa wa JWTZ kuhusishwa na fedha za Uswisi ni pigo kubwa sana kwa nchi

ndo maana naililia mwanahalisi. wangeshaweka mambo adharani bila bra bra za mara mjina tunayo oh mara nin... kama mnayo si muyaweke adharani na kama hamna uhakikika ya nini kutusimbua!
 
Usijali mkuu!! Tuendelee tu na mjadala wetu wa JWTZ na wizi wa kutupwa.

Sawa mkuu. Hawa wakubwa wa JWTZ ni wezi sana. Rekodi ya huko kwenye mabenki ya Uswisi inaonyesha kuwa pesa nyingi zilizotoroshwa kipindi cha utawala wa Nyerere zilitoroshwa wakatii wa vita ya TZ na Uganda. Which means kuna mkono wa wakubwa wa JWTZ hapo katika ununuzi wa silaha. Habari za Meremeta and the Co. ni ushahidi mwingine wa wizi wa kupindukia wa wakubwa wa JWTZ.
 
ebwanaee hii ni chezea toto tangu stori ilivyoleak na kwenda mbele ni chezea toto tu. waswisi washakubali kutoa orodha ya majina ila vigogo ndani ya sirikali wanapiga vita hiyo orodha, labda nitume barua pepe kivyanguvyangu niombe kwa niaba ya walalahoi wenzangu wanipe hayo majina maanake kama unangojea sirikali ya JK kuchapisha majina, utasubiri long time kishenzi. Hata kabla ya gesi kuvumbuliwa nilikuwa sipati picha CCM ikiachia ngazi kiutaratibu, na sasa dau limepanda yaani picha iko out of focus kabsaa. Bila kushikana mashati, huu mfumo hautoisha KAMWE! na wajanja wataendelea kula kona huku nchi inazorota. Ebu soma hapo chini, balozi wa uswisi ashasema hawaogopi kusema, wanangojea sirikila kuomba rasmi, tatizo hakuna mtu hata mmoja mwenye cheo/madaraka ya kuomba hiyo list ambaye ameulizia. Kinachonisikitisha zaidi ni hata kama hiyo orodha ikichapishwa nani atakayeadhibiwa? Nakwambia watakula sahani moja na yule mzee hosea, kwahiyo ni bora hata asiwaombe waswisi maanake itakuwa kama ile sinema ya yule RPC. Mzee mramba anapeta mpaka leo unadhani kweli atahukumiwa kifungo chochote kile? Eh Mola okoa taifa letu kabla amani haijasambaratika kama wenzetu uko syria

The Tanzanian government is yet to take up a challenge made by the Swiss Ambassador, Mr Adrian Schlaepfer, over his country’s readiness to cooperate with Dar es Salaam in returning any ill-gotten money that may have been stashed by Tanzanians in Swiss banks.
On May 26th 2009, Mr Schlaepfer said his government was ready to cooperate with the Tanzanian government in returning to any illegally acquired money that may have been banked by Tanzanian fugitives in Swiss Banks.

The Swiss ambassador made the pledge at the New Africa Hotel in a speech he made during the official launch of the first ever online corruption tracker website, Your Page Title.
The website which operates under a non-governmental organization, Agenda Participation 2000, is jointly sponsored by the Finnish and Swiss embassies in Dar es Salaam.

The implication of the Swiss ambassador’s pledge is that the Tanzanian government will have no excuses once it is required to seek the return to Tanzania of possible illegally acquired money stashed in Swiss banks by those alleged to be involved in the radar corruption scandal.

There have been speculation that the alleged architect in the alleged radar corruption scandal, Mr Shailesh Vithlani, presently reported to be in police custody after being arrested in Switzerland may soon be handed over to the Tanzanian government.

A section of the Tanzanian print media have for months reported allegations to the effect that Mr Vithlani has millions of US dollars stashed away in Swiss Banks.
The same media alleged that before his arrest, Mr Vithlani had been moving from one hotel to another while living in Switzerland.

The Tanzanian government has therefore a challenge to move a step further by providing the Swiss embassy in Dar es Salaam with detailed information on Tanzanian fugitives whose bank accounts may be lying in Swiss banks.

Mr Schlaepfer said his government was also ready to provide legal assistance if requested by Tanzania to speedily obtain information for the prosecution of local officials involved in corruption.
The implication of the Swiss ambassador’s pledge is that the Tanzanian government has now the opportunity of exploiting the Swiss government’s rich experience in legal matters as far as the prosecution of those involved especially grand corruption is concerned.

Indeed, the Swiss government’s readiness to cooperate with the Tanzanian government in dealing with Tanzanian fugitives who may have stashed their ill-gotten money in Swiss banks is the biggest challenge ever presented to Tanzanians.
The hugeness of the challenge lies in the fact that its failure to take the radar scandal case to its logical conclusion cannot in any way be hidden under any excuse as the Swiss government through its Dar es Salaam based embassy has clearly said that it is ready to help in dealing with any evidence that may be lying somewhere in Switzerland.

However, the Swiss ambassador’s pledge heavily depends on whether Tanzania is ready to make deliberate move on the case by providing the Swiss embassy in Dar es Salaam with details on the alleged culprits’ bank accounts and other related information. The Swiss ambassador’s pledge is a major breakaway from the past when the country’s banks were known for maintaining secrecy in their clients’ bank accounts.

Such conduct on the part of the Swiss banks tended to encourage looters, especially from developing countries to stash their ill-gotten money in Swiss banks.Since then, the Swiss government has not only changed that but is perhaps one of the few countries in the world which have openly discouraged people from other parts of the world from banking their ill-gotten money in their banks.

According to the Swiss ambassador one of the best examples was provided a few years ago when the Nigerian government provided the Swiss government with details on how much money had been looted by the former Nigerian dictator, General Sani Abacha.

Finally, Mr Schlaepfer said 400 million US dollars (over 400 billion shillings) that had been stolen from the Nigerian people was returned to Abuja. Therefore if the news on the alleged arrest of Mr Vithlani is true coupled with the Swiss ambassador’s pledge to cooperate totally with Tanzania government, the ball, as far as the prosecution of the radar corruption scandal is concerned, now lies squarely on the Tanzania government’s court.
 
kuna brigedia jenerali mmoja anajenga lijumba la kifahari huko oysterbay hua najiulizaga hela katoa wapi haiwezi kua ni hela yake ya kustaafu ndio inamuwezesha kujenga jumba la kifahari hivyo...hawa wanajeshi ogopa...

Mkuu huko Jeshini watu wanajichotea sana cause hawaulizwi kwa kisingizio cha unyeti wa hiyo taasisi
 
Tukisema hapa watu wanaanza kutoka mapovu. Kimsingi hakuna ufisadi uliotukuka kama jeshini, ukisia mishahara hewa ndo huko, ukisikia fedha za UN zinapigwa panga kwa ajili ya kununua vifaa wakati hawanunui ndiyo huko, ukisikia fedha za kujikimu kwa wanajeshi hazilipwi lakini kwenye budget zipo ndiyo huko, ukisikia makato ya ajabu ajabu kwenye mishahara ya wanajeshi ndiyo huko. Yaani kuna mengi, ila kwa kuwa wanajiita wenye nchi, we just have to be patients and wait for the principle of natural selection to take place.

Mkuu unachosema ni sahihi kabisa na kwavile kule CAG huwa hakatizi basi wanajifanyia watakavyo ukiwagusa tu unaambiwa ni swala nyeti halipaswi kujadiliawa kumbe unyeti wake ni huko Uswisi
 
Wekeni majina yao kuficha haisadii
unaona eeh! Mimi naona ZZK anatuchanganya tu. Kama ana access ya kupata hayo majina kwanini asichukue maamuzi kama ya Dr.Slaa pale mwembeyanga alipotoa 'list of shame' ambayo imempatia heshima kwa wananchi. Zito anaogopa nini. Kama hana guts za kuyataja majina hayo hana haja ya kutuonyesha kama anajua wakati hawezi kuwa-expose!
 
hao maofisa watatu ni chief of staff aliyestaafu karibuni, pia chief of staff kipindi cha waitara, na cdf kabla ya waitara

moshe dayan
 
unaona eeh! Mimi naona ZZK anatuchanganya tu. Kama ana access ya kupata hayo majina kwanini asichukue maamuzi kama ya Dr.Slaa pale mwembeyanga alipotoa 'list of shame' ambayo imempatia heshima kwa wananchi. Zito anaogopa nini. Kama hana guts za kuyataja majina hayo hana haja ya kutuonyesha kama anajua wakati hawezi kuwa-expose!

Mkuu tuliza ball amesema atayataja bungeni kwenye kikao kinachoanza kesho asipotaja ndo tumlaumu kuna maana kubwa sana akitaja bungeni tofauti na huku mtaani kwa usalama wake kumbuka Mbunge hawezi kushitakiwa kwa atakacho kiongea bungeni labda ndicho anachotegea hicho
 
Sawa mkuu. Hawa wakubwa wa JWTZ ni wezi sana. Rekodi ya huko kwenye mabenki ya Uswisi inaonyesha kuwa pesa nyingi zilizotoroshwa kipindi cha utawala wa Nyerere zilitoroshwa wakatii wa vita ya TZ na Uganda. Which means kuna mkono wa wakubwa wa JWTZ hapo katika ununuzi wa silaha. Habari za Meremeta and the Co. ni ushahidi mwingine wa wizi wa kupindukia wa wakubwa wa JWTZ.
Tatizo hakuna wa kumuuliza mwenzake. Hata JK naye inabidi awaendee kimahesabu maana wananguvu achilia mbali naye kuwamo kwenye hayo madili. Cha msingi hii vita ni hatari na inabidi ichezwe kwa kutumia smart people. Mfano mzuri ni juzi juzi ulivyoona JWTZ walivyotinga mitaani kutoa mikwara wakifuatiwa na msemaji wa jeshi, why all those shit while it was just a small group of muslims? Wanaandaa watu kisaikirojia ili wakiamua kulinda mafisadi kusiwepo wa kuanzisha vurugu.
 
hao maofisa watatu ni chief of staff aliyestaafu karibuni, pia chief of staff kipindi cha waitara, na cdf kabla ya waitara

moshe dayan

i never doubt your info concerning military issues i'm convinced it's true
 
i never doubt your info concerning military issues i'm convinced it's true

tatizo itakua ngumu sana hawa watu kushtakiwa kwa sababu pesa hizi ilikua laundered purposely kuisaidia ccm kwenye uchaguzi 2005,,

Hawa mabwana walitumia hyo loophole na wao kujichotea mabilioni.., si unakumbuka post zetu za nyuma kuhusu ile shirika feki la jeshi lililobeba pesa ya EPA??

Now connect the dots.., na hao nlokutajia ndo walikua movers and shakers wa jeshi kipindi watu wanachukua mahela BOT

Moshe Dayan
 
T215ZZK....asifanye usanii safari hii lazima atutajie hayo majina isije ikawa ni bra bra za kila siku kila mtu akiibuka nina orodha ya watu fulani,mara majambazi,mara wauza madawa ya kulevya..halafu hamuwataji...plz plz...safari hii tutakuwajibisha mwenyewe msitufanye watanzania ni watu wa kudanganywadanganywa tu kila siku
unavoandika, unaonekana unatamani zzk asiwe na orodha hiyo upate cha kuchonga. siasa maji taka bwana.
 
tatizo itakua ngumu sana hawa watu kushtakiwa kwa sababu pesa hizi ilikua laundered purposely kuisaidia ccm kwenye uchaguzi 2005,,

Hawa mabwana walitumia hyo loophole na wao kujichotea mabilioni.., si unakumbuka post zetu za nyuma kuhusu ile shirika feki la jeshi lililobeba pesa ya EPA??

Now connect the dots.., na hao nlokutajia ndo walikua movers and shakers wa jeshi kipindi watu wanachukua mahela BOT

Moshe Dayan

ooooooh duu mkuu nimekukubuali hiyo kitu ukiconnect dotes inakuja kabisa ngoja tuone kama Zito atawataja
 
Tunaushahidi. Maana humu kwenye hii forum kumekuwa na kauli na jaziba za kuchangia mada ambazo baadaye tunakuta si kweli. Hatutaki kurudia maana tunajua hii mijadala inaratibiwa lakini hii siyo demokrasia. Jaribuni kuwa wakweli
 
Nilipokuwa nasoma hii makala kwa kweli roho imeniuma sana, roho imeniuma si kwasasabu nazitaka mie pesa hapana, roho imeniuma sababu nafkilia jinsi Nchi yetu inavyotafunika na hawa watu, pia nawaza nani atakuwa msafi wa kuijenga hii Nchi? Nawaza hata Chedema akingia madarakani atajenga Nchi au watajenga familia zao....nna hofu kubwa sababu wanasiasa wanamaneno matamu tena adhimu........kabla hawajapata Dola lakin wakipata ugeuka fisi..........Hofu yangu Tanzania apewe nan?? Namini kabisa dola iliyopo inashindwa kuwaadabisha mafisadi na hii ni dalili tosha kuwa aliye mchafu awezi kumuadabisha mchafu mwenzake sababu atamtolea siri yake ni kama waliyotufanyia kwa yule gavana wa B.OT wakajifanya amekufa hata kaburi halipo hii serikali ya wachahe Nchi ya TZ inakila sababu ya kuwa Nchi ya kisasa yenye kupendeza.......Nashangaa kuona watu wanaibiwa na kukatwa mapanga wakati jeshi limekaa linasubiri mpaka tukio litokee tunashindwa hata na msumbiji tu...hawa jamaa wao ulinzi wa raia na mali zake basi ni ulinzi kweli mpka uchochoron unamkuta polisi amekaa na bunduki yake uinzi muda wote dolia inafanyika....angalia pale gymkhana watu wanavyokabwa tena mjini...hii ni aibu sana jeshi limekaa tu linakula pesa wa walipa kodi bure bure ni Aibu nani wa kubadilisha Mfumo mchafu wa Nchi hii???????????
 
Nilipokuwa nasoma hii makala kwa kweli roho imeniuma sana, roho imeniuma si kwasasabu nazitaka mie pesa hapana, roho imeniuma sababu nafkilia jinsi Nchi yetu inavyotafunika na hawa watu, pia nawaza nani atakuwa msafi wa kuijenga hii Nchi? Nawaza hata Chedema akingia madarakani atajenga Nchi au watajenga familia zao....nna hofu kubwa sababu wanasiasa wanamaneno matamu tena adhimu........kabla hawajapata Dola lakin wakipata ugeuka fisi..........HOFU YANGU TANZANIA APEWE NANI?? Naamini kabisa dola iliyopo inashindwa kuwaadabisha mafisadi, na hii ni dalili tosha kuwa aliye mchafu awezi kumuadabisha mchafu mwenzake, sababu atamtolea siri yake ni kama waliyotufanyia kwa yule gavana wa B.OT wakajifanya amekufa hata kaburi halipo. Hii serikali ya wachahe, Nchi ya TZ inakila sababu ya kuwa Nchi ya kisasa yenye kupendeza.......Nashangaa kuona watu wanaibiwa na kukatwa mapanga wakati jeshi limekaa linasubiri mpaka tukio litokee tunashindwa hata na msumbiji tu...hawa jamaa wao ulinzi wa Raia na Mali zake basi ni ulinzi kweli mpaka uchochoron unamkuta polisi amekaa na bunduki yake Ulinzi muda wote dolia inafanyika....angalia pale gymkhana watu wanavyokabwa tena mjini...hii ni aibu sana jeshi limekaa tu linakula pesa za walipa kodi bure bure ni Aibu inamaana wanasindwa kuvamia pale na kukamata vibaka wote au ndo wanapewa rushwa?? Ina tia aibu hii serikali jamani, NANI WA KUBADILI MFUMO HUU MCHAFU WA NCHI HII???????????
 
Back
Top Bottom