Serikali imetuma ma afisa usalama walio zagaa Arumeru kama kumbikumbi.kambi yao kubwa mojawapo ni Bar ya Transit eneo la Leganga Usa River.Kwa Bahati mbaya au nzuri eneo hili lina wasomi wengi mno na limezungukwa na Vyuo Vikuu zaidi ya 3.Hawa Maafisa usalama tunawajua na tumesoma nao sekondari nk,hongereni serikali kwa kuwapa ma alawansi,wapo huku wanakula bata na wanakiri kweli CCM baibai.
Nawasilisha...
Nawasilisha...