Manyoya huwa yanawavutia mabinti

KakaNanii

JF-Expert Member
Sep 28, 2008
325
52
Eti jamani . Nasikia haya manyoya(garden love) huwa yanawapagawisha sana mabinti
 

Attachments

  • MANYOYA.jpg
    MANYOYA.jpg
    42.1 KB · Views: 329
Preta, MRoza, RoselynOne na Miss Pirate naona wote hamuelekei kuyapenda hayo magugu-maji ya kifuani! Angalau basi mtoe na sababu tujue kwa nini....
 
Preta, MRoza, RoselynOne na Miss Pirate naona wote hamuelekei kuyapenda hayo magugu-maji ya kifuani! Angalau basi mtoe na sababu tujue kwa nini....

mimi kwa kweli hayo manyoya pamoja na vimzuzu mbuzi.....no....I do a lot of work sasa hayo makitu are getting on ma way.....ndio maana siyapendi pamoja na kitambi inclusive
 
mimi kwa kweli hayo manyoya pamoja na vimzuzu mbuzi.....no....I do a lot of work sasa hayo makitu are getting on ma way.....ndio maana siyapendi pamoja na kitambi inclusive

Preta wewe umesema, wengineo je?
 
mimi kwa kweli hayo manyoya pamoja na vimzuzu mbuzi.....no....I do a lot of work sasa hayo makitu are getting on ma way.....ndio maana siyapendi pamoja na kitambi inclusive

...WATOTOO! Nileteeni Track-suit Yangu.....!! :embarrassed1:
 
Unajua mtu anavutia kabla ya kuvua nguo. Kwa hiyo garden love has nothing to do with mvuo. Good looks bana ndo inamatter. Si unaona wazee wanaangalia wowowo kwanza kabla ya mambo mengine
 
Unajua mtu anavutia kabla ya kuvua nguo. Kwa hiyo garden love has nothing to do with mvuo. Good looks bana ndo inamatter. Si unaona wazee wanaangalia wowowo kwanza kabla ya mambo mengine
Tatizo akisha 'chojoa' unaweza kuwa disappointed (kama huyapendi!). Kama wewe ni HE, imagine umemchukua demu 'mkali' halafu akikuvulia nguo ukakutana na hayo manyoya!

Anyway, mwanaume shurti uwe na 'manyonya' angalau kidogo!
 
mimi kwa kweli hayo manyoya pamoja na vimzuzu mbuzi.....no....i do a lot of work sasa hayo makitu are getting on ma way.....ndio maana siyapendi pamoja na kitambi inclusive

hujapata wa kutumia ki mzuzu mbuzi vizuri weye.....sam taimu kina act kama ki brush flani hivi wakati wa kuzama uvinza
 
napenda manyoyaa,mwanaume akiwa na manyoya miguuni naona anapendeza,na kifuani pia,ila ya kizungu hayavutii,napenda manyoya kipilipili.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom