Wakati wa kuelekea uandikwaji wa katiba mpya, katika karne ya 21 bado taifa linafikia wakati wa kutoa kibari kwa waganga wa kienyeji kupita ndani ya nyumba za watu kusaka uchawai na irizi, hii ni picha ya wazi jinsi taifa lilivyopoteza uelekeo na kutumia muda mwingi katika kupambana na uchawi badala ya kukuza uchumi.
Katika wilaya ya ilala kata ya ukonga serikali imetoa kibari kwa mganga wa kienyeji aitwaye manyaunyau kutafuta wachawi wote katika kata hii, je hivi ndivyo vipaombele vya serikali yetu?
kama hiv ndivyo vipaombele basi kwenye katiba mpya tuweke sheria ya uchawi na serikali ikubali matumizi yake na kuingiza katika nyenzo za serikali,
Katika wilaya ya ilala kata ya ukonga serikali imetoa kibari kwa mganga wa kienyeji aitwaye manyaunyau kutafuta wachawi wote katika kata hii, je hivi ndivyo vipaombele vya serikali yetu?
kama hiv ndivyo vipaombele basi kwenye katiba mpya tuweke sheria ya uchawi na serikali ikubali matumizi yake na kuingiza katika nyenzo za serikali,