figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Watoto wawili wafariki kwa kula boga lenye sumu
Wilayani kiteto mkoani manyara, mmoja ni wa kiume umri miaka 8, wa pili ni wa kike mwenye miaka8, wawili walionusurika wakilazwa hospitalini.
Walionusurika wamepelekwa hospital ya rufaa Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Kiteto wamewatembelea Wagonjwa hospital na kuomba madaktari kufanya uchunguzi kujua ni aina gani ya Sumu na kuwaomba Wanannchi kuwa makini na vyakula wanavyokula. Na kama kuna mtu atavimba tumbo watoe taarifa mapema.
Waliopoteza maisha wametajwa kuwa ni Leiyoo Birikaa (6) na Nanyori Birikaa (12), wote wakazi wa Kijiji cha Partimbo, wakati waliolazwa hospitalini ni Kitwaini Birikaa (12) Orkiang Birikaa (7) na Taleck Birikaa (6)
Wilayani kiteto mkoani manyara, mmoja ni wa kiume umri miaka 8, wa pili ni wa kike mwenye miaka8, wawili walionusurika wakilazwa hospitalini.
Walionusurika wamepelekwa hospital ya rufaa Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Kiteto wamewatembelea Wagonjwa hospital na kuomba madaktari kufanya uchunguzi kujua ni aina gani ya Sumu na kuwaomba Wanannchi kuwa makini na vyakula wanavyokula. Na kama kuna mtu atavimba tumbo watoe taarifa mapema.
Waliopoteza maisha wametajwa kuwa ni Leiyoo Birikaa (6) na Nanyori Birikaa (12), wote wakazi wa Kijiji cha Partimbo, wakati waliolazwa hospitalini ni Kitwaini Birikaa (12) Orkiang Birikaa (7) na Taleck Birikaa (6)