Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,551
Sijasema mniamini mimi, nimesema I know the guy na uadilifu wake sio wa kutilia shaka, hivyo I seriously doubt uadilifu wa hawa Takukuru wetu na yale mambo yao ya kubambikia watu kesi!.Mkuu, kwahiyo tukuamini wewe na kuipuuza taasisi?
P