Hahahaa....roho mbaya Tu we si useme kabila lako ushirikiano sifuri!!hahahaaaaaMnafanya umoja kimagroup sasa , au kimtaa, mpak inafikia hatua ya chama kinarun mkoa mzima na mnaitisha kikao cha mkoa , si hatar hyo...alaf manyara sio far from Kilimanjaro , ni useles kutengeneza chama cha namna hiyo tena Kwa ukubwa huo , angalau ingekuwa Songea au katavi huko hapo inaweza ikamake sense , japo bado ni very dangerous
Sijui kama kuna ukweli wa hoja yako , lakini ni wapi kwenye Katiba ya nchi panapolazimisha watu kushiriki mazishi ?Ila wakati mwingine hawashiriki misiba ya wengine, wakitegemea uvyama wao.
Akili za kimaskiniRC yupo sahihi ni kuleta ukabila tu na ubaguzi , futa kabisa huo upuuzi
Na bado mtazidi kubaki maskini kwa akili hizi mfu, kilimanjaro inazidi kupaa tu kimaendeleoHapo Mkuu wa Mkoa wa Manyara, yuko sahihi. Hawa watu wa mkoa huo tajwa wana ubinafsi sana.
Anayekula nyama ya mtu haachi - JK NYERERESi ajabu kitachofuata ni kufuta makanisa ya wazungu maana yanafunza utamaduni wa kimagharibi, futa misikiti maana inafunza utamaduni wa mashariki ya kati, futa kila ambacho hakina asili ya Manyara...
Wanakuwa wabinafsi. Madhara yake kupeana fursa hasa pale mtu wa kabila husika anapokuwa nafasi ya juu, kupuuzia shughuli za watu wa kabila wengine sababu ye anajua ana backup ya kabila lao, kabila likiwa na watu wengi mwishowe wanatengeneza himaya yao. Wataanza kuwa na benki yao ya kukopeshana, watatafuta eneo ambalo watajenga wao tu.Ila wakati mwingine hawashiriki misiba ya wengine, wakitegemea uvyama wao.
Wakati tukisoma nyie si mlikuwa busy kucheza unyago? Sasa utapewa tenda ukiwa na elimu ya unyago?Maofisini vyeo na ajira hupeana wait kwa wait kwa kupendeleana na fursa nzuri hupeana wao kwa wao,michango ya harusi na misiba wao hupeana nyingi wengine hutoa kiduchu
Tenda pia hugawiana wenyewe na Mitandao yao ya kikabila
Uonevu gani? Watu walisoma na kajiriwa sasa uliona wivu tuoivyosoma? Na badoWachaga Mungu kesha wapa majibu Mitandao yenu mliyojenga miaka ya kuonea makabila mengine kwenye ajira,tenda,vyeo na fursa Mungu kamtumia Magufuli kuwapa majibu yenu.Uovu wenu umepatiwa majawabu
Mlipokuwa mkijenga Mitandao ya kikabila hamku project mbeleni kuwa litakuja fumuka ? Yaani Tanzania Ina makabila 120 mkajiona wote 119 wajinga kasoro ninyi tu? Kuwa hayo makabila yote 119 hawajui umuhimu wa mitandoa ya kikabila kwa ajili ya kujipendelea kwenye ajira,vyeo,fursa ,tenda nk ? Hamkuliona Hilo kuwa mbeleni litawaletea shida?chezea Wachaga ila mtapata majibu. Tumefika patamu Wachaga waandamane kupinga ubaguz wa wazi wazi dhidi ya uwepo wetu maana tunapoelekea watatutoa roho kama Hitlar kwa Israel
Kwamba wachaga walikuwa juu ya serikali? Njia ya muongo Ni fupiMiongozo ilikuwepo lakini Wachaga walikuwa hawajali wakipewa nafasi wanasombana wanapeana ajira,fursa,vyeo ,tenda nk bila hofu Wala kujali chochote .Safari hii miongozo inazingatiwa ndio maana wanapiga yowe Sana walizoea short cut za kikabila
Wewe vyeti feki waliotumbuliwa na Magufuli asilimia kubwa wachaga .Funga mdomo.Uonevu gani? Watu walisoma na kajiriwa sasa uliona wivu tuoivyosoma? Na bado
Kwani lazima kushiriki Misiba ya wengine?Ila wakati mwingine hawashiriki misiba ya wengine, wakitegemea uvyama wao.
Kulikuwaga na SOUTHERN SQUARE pale UDSMMwaka 2007, Prof. Rwekaza Simpho Mukandala, alifuta vyama kama hivi UDSM. Miongoni mwa vyama hivyo ni KAGERA UNIVERSITY STUDENTS ASSOCIATION (KAUSA) kilikuwa kikubwa mno nami nilikuwa kiongozi.