Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Hakimu mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya hakimu mkazi Manyara Mh. Simon Kobero mnamo tarehe 27/ 05/2021 amemhukumu kwenda jela kutumikia kifugo cha miaka 2 au kulipa faini ya sh. 300,000/= mwenyekiti wa tawi la Maisaka kati Wilayani Babati mkoani Manyara Bw, Bakari Khatibu Yangu.
Bakari amehukumiwa baada ya kukiri makosa ya kuomba na kupokea rushwa ya sh. laki mbili toka kwa Mwinjilisti wa kanisa la KKKT, kinyume cha sheria namba 15 ya makosa ya kuzuia na kupambana na Rushwa.
Bakari amehukumiwa baada ya kukiri makosa ya kuomba na kupokea rushwa ya sh. laki mbili toka kwa Mwinjilisti wa kanisa la KKKT, kinyume cha sheria namba 15 ya makosa ya kuzuia na kupambana na Rushwa.