Manyara: DC mstaafu amshushia kipigo mkewe, nyumba ndogo yatajwa kuwa chanzo

Kwanini mke asiende Mahakamani kuomba talaka na mgawanyo wa machumo? Kuendelea kubaki kwenye ndoa ya aina hiyo(kama alichosema mke ni kweli) ni kutafuta makubwa zaidi.
wanawake wengi waoga wa kuachika plus ujiko kuwa mimi mke wa DC japo vipigo kila siku huko vijijini DC ni mtu mkubwa sana hata kama amestaafu bado anaendelea kuwa mungu mtu
 
"Nami sasa nahangaika na li kijana linataka kuvuruga ndoa ya lenyewe kisa mamake analijaza ujinga! Limeshindwa kuelewa wamama huwa wanaumia sana vijana wao wakioa!!
KWA NINI WAMAMA WANAUMIA PINDI VIJANA WAO WAKIOA?
 
Ningepata picha ya close-up ya huyo mwanamke wa ndoa. Anaonekana mkorofi kwa sura ila hastahili kufanyiwa

Ukimtizama kwa karibu huyu mke wa jamaa... Ni mke mkorofi,mjeuri na mwenye kiburi. Ila bado hastahili kupigwa au kufanyiwa alivyofanyiwa.
Ni kweli, kuna mambo hayajawekwa wazi inawezekana huyo mama ni tatizo, halafu hii ni mara ya pili kama sikosei inshu ya ugomvi wao inaletwa humu
 
Back
Top Bottom