Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,426
- Thread starter
- #21
Sijaelewa bossWalikua ni walimu wa Shule ya msingi. Mikumi tena!
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sijaelewa bossWalikua ni walimu wa Shule ya msingi. Mikumi tena!
Umeshindwa hata kumroga au kumtafutia wahuni tu wamfanyizie? Mie sikopeshi watu kama hao.... wakianzisha namalizia.Hapana boss mimi siyo chadema na ili jambo alihusiani na siasa kabisa ni chuki za mtu tu
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kwa mkurugenzi nilishaenda boss akapewa na barua lakini bado aligoma kutekeleza
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
[/QUOT
Siku ingia ofisini umtandike vibao.
Kibali cha kwenda tayari tatizo ni yeye kuweka saini yake hapo ndipo kuna shida, hataki kuweka saini yake ili niende.Yaani DED alimwandikia barua Afisa Elimu akakaidi kujibu?
Nani mkubwa kikazi? DED ni boss & ndiye mwajiri wenu (wewe na Afisa Elimu wako).
Huyo afisa ni msimamizi tu wa kazi zako. Halafu kibali cha kwenda shule anatoa nan?, Mwajiri au Msimamizi ?????
Unakwama wapi? Jiamini Brother... Acha woga!
Naona umejaa uoga sana.
[Endelea kunyenyekea]
Kwanza huyo ni Ke ama me ?
Unampoteza mwalimu.Umeshindwa hata kumroga au kumtafutia wahuni tu wamfanyizie? Mie sikopeshi watu kama hao....wakianzisha namalizia.
Kwa kweli sijawai kufanya kitu kibaya kwake kabisa nashindwa kuelewa anakuwa na chuki na mimi bila sababu ya msingiHuyu A/Elimu namfahamu ni mfupi hivi ni shida tupu alikuwa huko Katavi madiwani wakamkataa ndo akahamishiwa huko Meru, Sasa kwa jinsi navyomjua huyo jamaa, labda ulishawahi fanya kitu kibaya kwake? Labda kumdharau, au kukaidi maagizo yake.
CWT hawawezi kukusaidia KAMWEMkuu nimeshaenda paka kwa mkurugenzi paka cwt akuna natumaini yoyote kwakeli nimezunguka sana bila mafanikio
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Naomba namba yako pm au chukuwa hiyo yangu nibipu nikupigie chief tuongee unisaidieMkuu pole sana, kifupi wakuu wengi wa Idara katika halmashauri huwa wanajiona MIUNGU WATU, wana USUMBUFU, MAUDHI,NA UONEVU, japo si wote
Mimi nilishapitia changamoto kubwa kama hiyo yako lakini langu lilikuwa ni la kimishahara, sasahv namshukuru Mungu alinitetea.
Kifupi hapo chukua kopi ya hizo documents zote zinazoonesha kuwa unakidhi vigezo vya kwenda masomoni, yaani barua ya kuitwa kazini, ya kuthibitishwa kazini, mahudhurio yako na barua ya kwenda masomoni ambayo hajaisaini yeye tu zipeleke kwa MWANASHERIA, na asiwe wa hapo halmashauri ya Meru.
Unaweza kuniPM nikueleze zaidi
Hahahaha mwalimu analialia sana. Walimu ni wafanyakazi wanyonge sana nchi hii licha ya wingi wao.Unampoteza mwalimu.
Kuchukua sheria mkononi ni makosa
Huu mjadala mbona unaendelea? Mwl Walter Hii hujaiona au haya maelekezo?Nakuomba wewe mwalimu (walter) uje na vyeti vyako vyote vya taaluma ofisi ya Mkuu wa wilaya kesho asubuhi na huyo afisa elimu naye afanye hivyo (nimeshampigia simu). Hili ni agizo kutoka juu,atakaye kaidi agizo hili imekula kwake pia wote wawili msisahau kuja na TIN NO. zenu Kila mmoja.
Nawatakia utekelezaji mwema !
Huyu kaandika kama utani tu mkuu kama unaweza kunisaidia unaweza kutoa ushauri wakoHuu mjadala mbona unaendelea? Mwl Walter Hii hujaiona au hayamaelekezo?