proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Habari za muda huu wandugu;
Kuna kero wanazopata wakazi wa Mkoa wa Ruvuma, wilaya ya Songea mjini sanasana maeneo ya Mahenge ,tunaomba kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya iangalie eneo hili maana ujambazi na vibaka wamekua wengi kwa kipindi hiki watu wanavyunjiwa nyumba na kupolwa.
Hii adha inawatesa sana wakazi wa mahenge ,Tunaomba serikali ya eneo husika na Wilaya kwa ujumla waliangalie hili.
Kuna kero wanazopata wakazi wa Mkoa wa Ruvuma, wilaya ya Songea mjini sanasana maeneo ya Mahenge ,tunaomba kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya iangalie eneo hili maana ujambazi na vibaka wamekua wengi kwa kipindi hiki watu wanavyunjiwa nyumba na kupolwa.
Hii adha inawatesa sana wakazi wa mahenge ,Tunaomba serikali ya eneo husika na Wilaya kwa ujumla waliangalie hili.