proto cute
Senior Member
- Apr 22, 2015
- 191
- 112
Shangazi wewe upumzike kwa Amani! Ulikuwa una mdomo tukiwahi kula una sema tuna tetemeka njaa mara tuna kula kama viwavi jeshi! Nakushukuru kwa malezi yako ume nifanya niwe mpishi mzuri! Na kuto jichanganya hovyo na magroup