Manyanyaso niliyoyapata nilipokuwa naishi kwa ndugu

Shangazi wewe upumzike kwa Amani! Ulikuwa una mdomo tukiwahi kula una sema tuna tetemeka njaa mara tuna kula kama viwavi jeshi! Nakushukuru kwa malezi yako ume nifanya niwe mpishi mzuri! Na kuto jichanganya hovyo na magroup
 
Back
Top Bottom