Kasomeko
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 441
- 743
AisiiiiNilishafukuzwa na ndugu kosa nimesahau kusuuza sahani.
AisiiiiNilishafukuzwa na ndugu kosa nimesahau kusuuza sahani.
Mkuu,Ni Maisha Tu Lazima Yawe Na History
Ingawa Wengine Wakifika Kwa Ndugu Wanafanya Tu Dharau Akiambiwa Habadiliki
Mfano Unarudi Home Muda Unaotaka Wewe Mwenyewe, Ukiondoka Unasema Natoka
Hapo Hujaaga
Hilo huwa nalichukulia ni tatizo la kiakili,nimeliona sanaMkimaliza.....
Tuliolea ndugu kwa kujinyima haswa.....
na bado wakatoka kwenda kutusambazia ubaya hadi kwa majirani wa vijijini tusiowajua..
Tukaanzishe uzi wetu
Humu jf watu wengi hawajawai kuishi na ndugu wapuuzi hivo hawajuiPia kufuga ndugu ni kazi, nnalea ndugu zangu wanayo yafanya Mungu tu anisaidie kuna kipindi nasema liwalo na liwe natimua raia lkn nikifilia mimi pia nilisha wahi kusaidiwa nafsi ina nisuta
Sema sija,andika yotee ila watoto wao kama bosi mimi ndo nilikuwa natumwa kila,dakika mpaka house nadeki watoti wao wakiamka utasikia choo kichafuu. Yeye hapo anatafuta chaii. Mwingine anakuita uchote maji hukoo kisaa unaonekana una nguvu waoo wako wanaangalia tv na kupiga story.Ni kawaida ya binadamu hatuna shukrani..
.....................Ndugu wamekusaidia kukuhifandi kipindi unahangaika na maisha leo una kuja kuwachafua huku.
Ubinadamu kazi.
Kuna wale wasiojigusa.......
Anaamka subuhi anaingia facebook
Mwenyeji upige kazi zooote na chai umuandalie
Akila anaacha vyombo anaenda kuangalia movie na kumiliki remote
Mchana umwite ale
Jioni umpikie ale umwoshee vyombo
Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa
Mama Mwenye Nyumba Akimwambia Tandika Kitanda Unacholalia, Fua Shuka Unazotumia HatakiKuna wale wasiojigusa.......
Anaamka subuhi anaingia facebook
Mwenyeji upige kazi zooote na chai umuandalie
Akila anaacha vyombo anaenda kuangalia movie na kumiliki remote
Mchana umwite ale
Jioni umpikie ale umwoshee vyombo
Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa
Watu wanafaya sex (hiyo unayoiita kuzini) vizuri na wanafurahia, na wana maisha ya furaha. Matatizo ya huyo jamaa hayajatokana na Ngono bali yametokana na kuishi na watu wenye shuku mbaya na kupenda ku control binadamu wenzao!!!Mithali 6:32
MTU AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA,AFANYA JAMBO LITAKALOMWANGAMIZA NAFSI YAKE.
ATAPATA JERAHA NA KUVUNJIWA HESHIMA WALA FEDHEHA YAKE HAITAFUTIKA.
90% ya matatizo yako na ndg zako/majirani sababu zilikua ni mambo ya Ngono tu.
Nb:Mimi pia sio malaika.
J'Pili Njema wadau.
Kweli aiseeWe unaleta wanawake kwenye nyumba uliyokaribishwa kwa kusaidiwa tu? We ni hovyo sana, mtu smart asingekuwa na muda huo, angekuwa ni kutafuta kazi na sio kwenda vijiweni kupiga story
Asante mkuu we ndo muelewa naona wengine wanaonge kwa kuwa hawajuii vizurii ninacho maanishaa.Watu wanafaya sex (hiyo unayoiita kuzini) vizuri na wanafurahia, na wana maisha ya furaha. Matatizo ya huyo jamaa hayajatokana na Ngono bali yametokana na kuishi na watu wenye shuku mbaya na kupenda ku control binadamu wenzao!!!
Huyu jamaa kaeleza upande wake tu, hatujasikiliza upande wa ndugu anaowalalamikia nao wana lipi la kusema kuhusu yeye, ila kwa haraka haraka tu, anaonekana sio mtu muwajibikaji,Kweli aisee Ukikaa kwa watu zuia tamaa za papuchi, jamaa angetoka na mabinti wa mbali sio hapo mtaani
Ni mwaka tu. Na ni mwajibikaji sana ukienda kwao leo hii utaona huruma maana mazingira ni machafu balaa na mzee ana lalamika watoto ni wazururaji tu.Huyu jamaa kaeleza upande wake tu, hatujasikiliza upande wa ndugu anaowalalamikia nao wana lipi la kusema kuhusu yeye, ila kwa haraka haraka tu, anaonekana sio mtu muwajibikaji,
Mtu muwajibikaji hakai kwa ndugu muda mrefu kiasi hicho hadi akazoeleka mtaani kiasi hicho, watu wakamfahamu na hadi akajiachia kiasi cha kuingiza na wanawake ndani
Mtu makini anajua hapa sio kwangu, na ninawapa mzigo hawa watu, cha kwanza kabisa ni kutafuta kazi yoyote nikapange kwangu kwanza...
mwaka mmoja ni muda mrefu kukaa kwa mtu kama hufanyi kazi, halafu mwanzoni ulisema kuna demu mlienda kupima ukawa unamuingiza ndani, sasa hivi unabadili maelezo tenaNi mwaka tu. Na ni mwajibikaji sana ukienda kwao leo hii utaona huruma maana mazingira ni machafu balaa na mzee ana lalamika watoto ni wazururaji tu.
Na nikiongea nao mpaka leo huwa wanasema kuwa wanatani uwepo wangu na huwa anajishtukia na kusema ni msamehe kwa kila kitu alijaribu kuwalinda watoto wake wa,kike wasije shawishikaa.
Na sijawahii kuwa na demu wala kuingiza mademu kwake tokea nime kaa pale.
Mtani kuzoeleka ni rahisi kutokana na waoo
Saizi miaka imeenda sana karibia 5 naa.