MANUNUZI YA VIFAA VYA MAABARA,chazo cha kuvuja mitihani ya sayansi kidato cha nne na sita.

Complicator

JF-Expert Member
Aug 23, 2013
2,198
3,566
Sielezei sana ila nina uhakika kwa muelewa atakuwa amekwishaelewa,hapa serikali ilibidi iwe inatuma yenyewe vifaa full kwa ajili ya mitihani na siyo kuwapa walimu waandaaji pre-instructions ambazo huwapelekea kuanza kuandaa vifaa vingi kupitia stationaries,huko wao kwa sababu wako kibiashara na hawana ethics za kazi basi inakuwa rahisi kupredict nini kinaenda kutoka kwenye mitihani hivyo kuweka mazingira rahisi sana ya kuvujisha mtihani.

ukweli ndio huo.
 
Sielezei sana ila nina uhakika kwa muelewa atakuwa amekwishaelewa,hapa serikali ilibidi iwe inatuma yenyewe vifaa full kwa ajili ya mitihani na siyo kuwapa walimu waandaaji pre-instructions ambazo huwapelekea kuanza kuandaa vifaa vingi kupitia stationaries,huko wao kwa sababu wako kibiashara na hawana ethics za kazi basi inakuwa rahisi kupredict nini kinaenda kutoka kwenye mitihani hivyo kuweka mazingira rahisi sana ya kuvujisha mtihani.

ukweli ndio huo.
Hadith yako inatufundsha nn
 
Sielezei sana ila nina uhakika kwa muelewa atakuwa amekwishaelewa,hapa serikali ilibidi iwe inatuma yenyewe vifaa full kwa ajili ya mitihani na siyo kuwapa walimu waandaaji pre-instructions ambazo huwapelekea kuanza kuandaa vifaa vingi kupitia stationaries,huko wao kwa sababu wako kibiashara na hawana ethics za kazi basi inakuwa rahisi kupredict nini kinaenda kutoka kwenye mitihani hivyo kuweka mazingira rahisi sana ya kuvujisha mtihani.

ukweli ndio huo.

Ni kweli ila ni serikali ipi itatuma vifaa?
 
Back
Top Bottom