ILLICH
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 237
- 180
Tatizo ni upuuzi unaofanyika kwenye matumizi ya hizo pesa,watu wanafuja sana pesa mpaka inaondoa morali ya kulipa kodiUwawekee waTZ hawa 100 kila mwezi unajua kelele watazopiga huku wakisapotiwa na hao wanaojiita "wapinzani"? Hiki ulichoeleza kinatekelezeka kwenye nchi zenye raia na viongozi wanaojielewa...