SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,898
Kwa muda mrefu ndondi esp. za heavy weight division zimekosa ule utamu wa boxers wa miaka ya akina enzi za watu kama akina Mike Tyson, Evander holyfield, Lennox Lewis, John Ruiz, Larry Holmes, Riddick Bowie etc.
Kwa muda mrefu watu tumekuwa tukitegemea hili pambano kati ya hawa dogo wawili, yule mfilipino Pacquiao na huyu mmarekani Floyd Maywether Jr.ambao wamekuwa wakitambiana kila kukicha kutokana na boxing records zinazovutia sana.
Maywether Jr. hajapigwa hata pambano moja. Pacman ameweka record ya kuwa bingwa wa pound for pound kwa uzito wa aina mbalimbali na speed ya punches zake sio ya kawaida inatisha.
I can't wait kwa hawa jamaa wakizipiga kwani imesemwa kuwa itakuwa is one of the mega fights of the century. Kuna wanaosema Mayweather anamwogopa mfilipino. I hope watamaliza ubishi sooner than later
Kwa muda mrefu watu tumekuwa tukitegemea hili pambano kati ya hawa dogo wawili, yule mfilipino Pacquiao na huyu mmarekani Floyd Maywether Jr.ambao wamekuwa wakitambiana kila kukicha kutokana na boxing records zinazovutia sana.
Maywether Jr. hajapigwa hata pambano moja. Pacman ameweka record ya kuwa bingwa wa pound for pound kwa uzito wa aina mbalimbali na speed ya punches zake sio ya kawaida inatisha.
I can't wait kwa hawa jamaa wakizipiga kwani imesemwa kuwa itakuwa is one of the mega fights of the century. Kuna wanaosema Mayweather anamwogopa mfilipino. I hope watamaliza ubishi sooner than later