Manny Pacquiao V/S Floyd Maywether Jr

SHERRIF ARPAIO

JF-Expert Member
Aug 25, 2010
9,539
5,898
Kwa muda mrefu ndondi esp. za heavy weight division zimekosa ule utamu wa boxers wa miaka ya akina enzi za watu kama akina Mike Tyson, Evander holyfield, Lennox Lewis, John Ruiz, Larry Holmes, Riddick Bowie etc.
Kwa muda mrefu watu tumekuwa tukitegemea hili pambano kati ya hawa dogo wawili, yule mfilipino Pacquiao na huyu mmarekani Floyd Maywether Jr.ambao wamekuwa wakitambiana kila kukicha kutokana na boxing records zinazovutia sana.
Maywether Jr. hajapigwa hata pambano moja. Pacman ameweka record ya kuwa bingwa wa pound for pound kwa uzito wa aina mbalimbali na speed ya punches zake sio ya kawaida inatisha.
I can't wait kwa hawa jamaa wakizipiga kwani imesemwa kuwa itakuwa is one of the mega fights of the century. Kuna wanaosema Mayweather anamwogopa mfilipino. I hope watamaliza ubishi sooner than later
 
Kwa muda mrefu ndondi esp. za heavy weight division zimekosa ule utamu wa boxers wa miaka ya akina enzi za watu kama akina Mike Tyson, Evander holyfield, Lennox Lewis, John Ruiz, Larry Holmes, Riddick Bowie etc.
Kwa muda mrefu watu tumekuwa tukitegemea hili pambano kati ya hawa dogo wawili, yule mfilipino Pacquiao na huyu mmarekani Floyd Maywether Jr.ambao wamekuwa wakitambiana kila kukicha kutokana na boxing records zinazovutia sana.
Maywether Jr. hajapigwa hata pambano moja. Pacman ameweka record ya kuwa bingwa wa pound for pound kwa uzito wa aina mbalimbali na speed ya punches zake sio ya kawaida inatisha.
I can't wait kwa hawa jamaa wakizipiga kwani imesemwa kuwa itakuwa is one of the mega fights of the century. Kuna wanaosema Mayweather anamwogopa mfilipino. I hope watamaliza ubishi sooner than later

Mayweather anamwogopa Pacman huo ndio ukweli. Mara kadhaa ameombwa wazipigi na kila saa anakuja na visingizio, mara ooh apimwe damu.
 
Floyd money Mayweather namkubali ila tatizo lina kuja pia na mie kidogo natia wasiwasi sababu za Floyd zinakuwa kama anamuogopa Pacman..

Sema hapo hapo naweza kumtetea Floyd kwanini Pacman hataki kupima damu???????? Pacman kitu gani kinamfanya agome? ingekuwa watu weusi wanagoma wangeshaambiwa wanatumia madawa ya nguvu... Pacman naye anamuogopa Floyd hawa watu wanaogopana..


Kuna Dogo anaitwa Amir Khan ni mkali ila naye bado sijamuona kuzichapa na watu kama Floyd ndio tutajuwa ukali wake. Pacman na Floyd waache kutafutiana sababu wazipige..

UFC ndio nachotizama sikuhizi mie kuna Mbrazil Silva jamaa anachapa kama Bruce Lee.
 
UFC ndio nachotizama sikuhizi mie kuna Mbrazil Silva jamaa anachapa kama Bruce Lee.

Anderson Silva si binadamu yule.

Mwanzoni Fedor Emelianemko alionekana kama si binadamu lakini hivi karibuni kashindwa mipambano mitatu mfululizo.

Ila Silva bado hajashindwa kabisa. Kuna moja alishindwa kwa disqualification dhidi ya Yushin Okami lakini kalipiza Jumamosi kwa kumpa kisago cha ukweli.

Kwenye daraja lake la kati (185 lbs) Silva hana mpinzani. Labda aende kwenye lightheavyweight lakini huko anaweza akakwaa kisiki kwa Jon Jones manake huyu naye ni moto wa kuotea mbali.
 
Kuna Dogo anaitwa Amir Khan ni mkali ila naye bado sijamuona kuzichapa na watu kama Floyd ndio tutajuwa ukali wake. Pacman na Floyd waache kutafutiana sababu wazipige.. .

Mkuu hapa naona tunafananisha dagaa na Sangara..., huyu dogo baada ya kushinda Gold Medal Olympic wamekuwa wakimpambanisha na vilaza ili kwanza atengeneze Jina..., kumuweka kwenye kundi la kina Floyd nadhani ni mapema sana.... tumpe muda...
 
Mkuu hapa naona tunafananisha dagaa na Sangara..., huyu dogo baada ya kushinda Gold Medal Olympic wamekuwa wakimpambanisha na vilaza ili kwanza atengeneze Jina..., kumuweka kwenye kundi la kina Floyd nadhani ni mapema sana.... tumpe muda...

Kweli Mkuu ... Amir Khan si mbaya ila mie nataka akutane na watu wanaotandika vibaya sana kama wa Mexico tuone atahimili vishindo sababu shingo yake kidogo Khan inaonekana akipigwa ile ya kuyumba sizani kama anauwezo wa kuendelea pambano, kuna watu wanapigwa wana yumba ila wanarudi strong.. Khan ashukuru pia ana trainer mzuri.
 
Anderson Silva si binadamu yule.

Ila Silva bado hajashindwa kabisa. Kuna moja alishindwa kwa disqualification dhidi ya Yushin Okami lakini kalipiza Jumamosi kwa kumpa kisago cha ukweli.

Kile Kichapo kweli ni cha hatari nilijuwa atamuachia asimame tena alafu naona wameamuwa kuifanyia Brazil wa Brazil kwa UFC wanatisha sasa hivi kuliko football.
 
Binafsi namkubali sana Mayweather japo pacman nae rekodi yake sio ya kudharau hata kidogo.
Khan ana safari ndefu sana kufikia levels za hawa jamaa.
 
Mpaka sasa mpambano wao haujawa confirmed na nakumbuka pacman alisema angetaraji kustaafu october 2011 si unajua kwa sasa pia ni mbunge nchini kwake!.
Kwa kifupi Folyd anamuogopa Manny mana kile kichapo alichopewa Cotto kilikuwa fundisho kwake..Pacman yupo juu
 
Mpaka sasa mpambano wao haujawa confirmed na nakumbuka pacman alisema angetaraji kustaafu october 2011 si unajua kwa sasa pia ni mbunge nchini kwake!.
Kwa kifupi Folyd anamuogopa Manny mana kile kichapo alichopewa Cotto kilikuwa fundisho kwake..Pacman yupo juu
Angalia pacman/marquez....halafu angalia mayweater/marquez.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom