Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,430
- 4,132
Njaa Baba utafanya nini na ndio mteja aliyempata na yeye ndio ajira yake
Ni kweli, Marando inabidi pia aendeleze ajira yake ya wakili wa utetezi; asije kufa njaa hata kama wengine hatufurahii kutetea wafisadi. Lakini, kujiingiza kwake katika siasa za upinzani kunaweza kumuweka njia panda. Achague moja; asije pata maumivu yaliyowaangukia akina Lamwai.