Manji rasmi arudi Jangwani mamia ya wanachama wampokea

py thon

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
2,471
4,424
Manji arejea Mjengoni mamia ya wanachama wampokea kwa fifijo na nderemo.

Je Ajib na Mkude watasajiliwa ?



ef5cbdaf31e1a5d8c21f2a25602f4de3.jpg
 
Nendeni mkafanye biashara yenu vizuri, ila uwanja wa yanga umejaa maji mpaka magugu yameota juu yake
 
Manji kila siku anawatingisha tu.. Yanga wote wamekua kama mbulula
Sijakisoma bado!

Manji anawatingisha wakina nani? Mimi nilidhani anawatingosha MIKIA FC maana tangu jamaa ateuliwe Mara nyingine kuongoza Yanga, simba hawajawahi beba VPL....
 
Simba kwa sasa,wanahangaika na Haruna Hakizimana, maana nimemuona Alfajili ya Leo saa tisa Evance Aveva akifika Airport na Mda huohuo Haruna anashuka akitokea Rwanda na baada ya muda Haruna anapanda Gari ndogo na kuondoka na Aveva naye Anaondoka.Kama watafikia muafaka upo uwezekano mda si mrefu wakamtangaza rasmi.
 
Simba kwa sasa,wanahangaika na Haruna Hakizimana, maana nimemuona Alfajili ya Leo saa tisa Evance Aveva akifika Airport na Mda huohuo Haruna anashuka akitokea Rwanda na baada ya muda Haruna anapanda Gari ndogo na kuondoka na Aveva naye Anaondoka.Kama watafikia muafaka upo uwezekano mda si mrefu wakamtangaza rasmi.
Huyo keshasaini tangu juzi
 
Back
Top Bottom