Manji, Mzee Akilimali washambuliana kwa 3-1

Lupweko

JF-Expert Member
Mar 26, 2009
20,657
20,408
MWENYEKITI wa Yanga SC, Yussuf Manji amesema kwamba hawakumsajili Juma Kaseja kwa ajili ya kuifunga Simba SC, bali wamemsajili awasaidie kwenye michuano ya Afrika. Manji ameyasema hayo leo asubuhi makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, siku moja baada ya Yanga kufungwa 3-1 na Simba SC katika mechi ya Nani Mtani Jembe Uwanja wa Taifa, Kaseja akiwa langoni. Manji alikuwa akimjibu Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali aliyeushutumu uongozi kusajili Juma Kaseja ni makosa. "Huyu mzee nadhani umri umemzidi, lakini nataka nimkumbushe, huyo Ivo Mapunda aliondoka Yanga akiwa anatumikia adhabu ya kufungiwa miezi sita na uongozi wa wakati huo kwa tuhuma za kufungisha kwenye mechi na Simba SC,".

Source: Bin Zubeiry blog
 
Sarakasi zimeanza Yanga...Tutasikia mengi...manake Kaseja nae anaweza kuwekwa benchi miezi 6 kwa kufungisha--ka IVO
 
Ole muanze migogoro hapo,mtapigwa hadi na Kariakoo ya Lindi.
 
Breaking Newz!!! Kampuni ya BIA nchini TBL inapenda kuishukuru Timu fulani (jina tunalo) kwa kuweza kununua bia 94,000,000 million tisini na nne na ushee hivi!! Kampuni inaishukuru saaana hiyo timu! Kwani tangu imeanza kuuza bia haijawahi kupata faida kubwa kama hii ndan ya mwezi mmoja! Kwa takwimu za harakaharaka kampuni imepata Tsh 188,000,000,000 (wastani billion 2). Kampuni inaahidi itaendelea kuzidhamini timu zote mbili! Yaani wale ambao wachamungu pamoja na wale walevi ingwa hawajuwi mpira! Kwani hata maandiko yanasema! Yaache Magugu yaote na ngano!!! Bwana alitoa! Na Bwana ametwaa! Jina la................... Imenukuliwa kutoka kwa Meneja Masoko TBL (Bwana Kavishe)
 
Sikufurahishwa na kauli ya Manji kwamba mzee Akilimali anazeheka vibaya. Manji lazima atambue kwamna soka la Simba na Yanga si lelemama. Juma Kaseja pamoja na kwamba ni rafiki wa Manji lakini ana kadi ya Simba, ni mwanachama wa Simna. Kosa la Akilimali liko wapi?
 
Sikufurahishwa na kauli ya Manji kwamba mzee Akilimali anazeheka vibaya. Manji lazima atambue kwamna soka la Simba na Yanga si lelemama. Juma Kaseja pamoja na kwamba ni rafiki wa Manji lakini ana kadi ya Simba, ni mwanachama wa Simna. Kosa la Akilimali liko wapi?

hiyo kauli itai-cost Yanga labda aombe radhi
 
Sikufurahishwa na kauli ya Manji kwamba mzee Akilimali anazeheka vibaya. Manji lazima atambue kwamna soka la Simba na Yanga si lelemama. Juma Kaseja pamoja na kwamba ni rafiki wa Manji lakini ana kadi ya Simba, ni mwanachama wa Simna. Kosa la Akilimali liko wapi?

Hivi manji ndio kocha wa yanga?waswahili mbona mna maneno maneno?Kosa la manji ni kwamba,hajanunua match kwa vile aliona ni bonanza,sasa ameona muziki wa simba ndo kaahidi hawatarudia tena. Kwa hiyo hata mkitufunga kwenye ligi nitaamini tu ni biashara ambayo manji ameitangaza mpira ulichezwa kwenye bonanza!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Breaking Newz!!! Kampuni ya BIA nchini TBL inapenda kuishukuru Timu fulani (jina tunalo) kwa kuweza kununua bia 94,000,000 million tisini na nne na ushee hivi!! Kampuni inaishukuru saaana hiyo timu! Kwani tangu imeanza kuuza bia haijawahi kupata faida kubwa kama hii ndan ya mwezi mmoja! Kwa takwimu za harakaharaka kampuni imepata Tsh 188,000,000,000 (wastani billion 2). Kampuni inaahidi itaendelea kuzidhamini timu zote mbili! Yaani wale ambao wachamungu pamoja na wale walevi ingwa hawajuwi mpira! Kwani hata maandiko yanasema! Yaache Magugu yaote na ngano!!! Bwana alitoa! Na Bwana ametwaa! Jina la................... Imenukuliwa kutoka kwa Meneja Masoko TBL (Bwana Kavishe)

Ha ha ha haaaaaaaa!!!!!
Kumbe lilikuwa shindano baina ya chapombe na watu makini? Ndiyo maana nchi nzima siku ile iliaminishwa na kuimbishwa kwamba walevi wale wangeshinda. Sasa wanashangaa nini wao wameshinda unywaji wa pombe; ni walevi bora kabisa, na wenzao wameshinda heshima na sasa wanaleta za mbichi sizitaki eti .... Oooh, kombe lenyewe la kichina!!!! Walevi Bwana? Ndiyo zao hizo!
 
:A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::sleepy:
 
Namkubali sana manji ni Mwenyekiti bora kabisa, sio huyu wetu TUTU VENGERE sijui anawaza kuuza wachezaji apate cha juu basi.
 
Breaking Newz!!! Kampuni ya BIA nchini TBL inapenda kuishukuru Timu fulani (jina tunalo) kwa kuweza kununua bia 94,000,000 million tisini na nne na ushee hivi!! Kampuni inaishukuru saaana hiyo timu! Kwani tangu imeanza kuuza bia haijawahi kupata faida kubwa kama hii ndan ya mwezi mmoja! Kwa takwimu za harakaharaka kampuni imepata Tsh 188,000,000,000 (wastani billion 2). Kampuni inaahidi itaendelea kuzidhamini timu zote mbili! Yaani wale ambao wachamungu pamoja na wale walevi ingwa hawajuwi mpira! Kwani hata maandiko yanasema! Yaache Magugu yaote na ngano!!! Bwana alitoa! Na Bwana ametwaa! Jina la................... Imenukuliwa kutoka kwa Meneja Masoko TBL (Bwana Kavishe)

MFANO WA MAGUGU NA NGANO (Mathayo 13: 29)
29Lakini akasema, ‘Hapana, msiyang'oe, kwa maana wakati mking'oa magugu mnaweza mkang'oa na ngano pamoja nayo. 30Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji, wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto, kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.' ''
 
Sikufurahishwa na kauli ya Manji kwamba mzee Akilimali anazeheka vibaya. Manji lazima atambue kwamna soka la Simba na Yanga si lelemama. Juma Kaseja pamoja na kwamba ni rafiki wa Manji lakini ana kadi ya Simba, ni mwanachama wa Simna. Kosa la Akilimali liko wapi?

Manji yuko sahihi, kwanza amezungumza vitu ambavyo ukivifanyia reasoning vinakubalika.
Akilimali anaishi kwa kukariri wakati mambo yanabadiilika.
 
Sikufurahishwa na kauli ya Manji kwamba mzee Akilimali anazeheka vibaya. Manji lazima atambue kwamna soka la Simba na Yanga si lelemama. Juma Kaseja pamoja na kwamba ni rafiki wa Manji lakini ana kadi ya Simba, ni mwanachama wa Simna. Kosa la Akilimali liko wapi?

he has the money, he can say whatever he pleases and there is little wazee wa yanga can do. Umaskini kazi kweli!!!!
 
Huyo mzee Akilimali ndo anaoharibu mpira, yeye bado anafikiria kizamani, yaani kuwafunga simba ndo kikubwa kwake. Manji na uongozi wake wanafikiria kuchukua ubingwa na kufanya vizuri champions league.

Asijidanganye kuwa kazidiwa fedha tu na Manji, hata uelewa wa namna ya kuendesha mipango ya klabu kisasa kazidiwa kwa mbali sana.

Tatizo Manji ndo M/Kiti hivyo hakuna ujanja ujanja wa kujipatia pesa.
 
Hivi manji ndio kocha wa yanga?waswahili mbona mna maneno maneno?Kosa la manji ni kwamba,hajanunua match kwa vile aliona ni bonanza,sasa ameona muziki wa simba ndo kaahidi hawatarudia tena. Kwa hiyo hata mkitufunga kwenye ligi nitaamini tu ni biashara ambayo manji ameitangaza mpira ulichezwa kwenye bonanza!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

kumbe ndio maana alisema mzigo wa lawama abebeshwe yeyeeeeee,kumbe alikuwa hajatia midolari yakeeeeeeee ili washindeeeee,kumbe huwa wanashindaga kwa mbinuuuuuuuuu!,teh teh teh
 
Back
Top Bottom