MANJI MATATANI TENA

duh! atleast sio uhujumu uchumi atapata dhamana.........kaazi kwelikweli
 
!
!
Manji just get the hell out of this country.... Watakuua hawa jamaa. Ondoka tu mzee. Au omba uraia wa nchi nyingine
 
Shida sana. Kwa nini asiitwe ikulu kwa majadiliano? Kuna watu tunawadai tr450 lakini hatujathubutu kuwapeleka kortini.
 
Hii nchi inafosi kupata hela, sijui ni namna gani bhana

Jamaa anataka Kujenga nchi kwa kufosi, anataka Acacia wamlipe fasta fasta hela aipeleke kwenye reli, sasa wamemkomalia, anarudi tena kujaribu ku fosi kwa Manji labla anaweza kubahatisha kikapatikana chochote
 
Back
Top Bottom