Ile ni biashara na biashara ni matangazo hapo tayari ameshaanza kupata wateja.
Biashara matangazo lakini angesubiri 'vumbi' litulie....
Ile ni biashara na biashara ni matangazo hapo tayari ameshaanza kupata wateja.
Ni upumbavu ulioje...masikini anashangilia tajiri kufilisiwa bila sababuHiyo inaweza kuwa moja ya interpretations. Ingawa mimi naona kutokana na namna Magufuli anavyowasema matajiri na ‘ku-deal’ nao, maskini wengi wanavutiwa. Na ukiangalia kushangilia kwao ni kwamba heri wote tukose! Hii ndiyo mitazamo ya kimaskini. Hawajui trickle down effect wa kuwa na matajiri.