Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
polisi walishasema hawana ushahidi kuhusu kagoda. Sasa ushahidi wa maandishi, sauti na picha wamepewa wanasema uchunguzi unaendelea.
msemauongo ni kibaraka wa ccm,pesa iliibiwa kabla ya uchaguzi yeye anasema baada ya uchaguzi,anatumiwa tu na mengi kuwashambulia b'ness competitor wake,hata kama wamehusika anataka kuwaondoa ccm kwenye kashfa.