Mojojo
Member
- Jun 7, 2017
- 39
- 39
Sijui nini kimekuta huyu tajiri jeuri baada ya kusweka ndani
Nakumbuka ni huyu ndiye alimfunguliaga Mengi shitaka la madai ya kuchafuliwa jina akidai shilingi tano
Huku akiwalipa mapesa mengi mawakili wake simamia hiyo kesi
Kipi kinamfanya mpaka leo awe kimya mfungulia mashitaka Makonda?
Nakumbuka ni huyu ndiye alimfunguliaga Mengi shitaka la madai ya kuchafuliwa jina akidai shilingi tano
Huku akiwalipa mapesa mengi mawakili wake simamia hiyo kesi
Kipi kinamfanya mpaka leo awe kimya mfungulia mashitaka Makonda?