Mwanagandila
Senior Member
- Oct 9, 2011
- 182
- 100
Asalaam aleykhum wana JF, habari nilizozipata hivi punde ni kwamba Bwn.Yusuph Manji amekubali kurudi kuendelea na ufadhili wake katika klabu ya Young Africans yenye masakani yake mitaa Jangwani na Twiga.
Manji anatarajiwa kupokewa siku ya ijumaa na washabiki na wapenzi wa klabu hiyo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl Nyerere, amabapo kurudi kwake anatrajiwa kukamilisha ujenzi wa Uwanja wa Kaunda ikiwa ni pamoj ana kuweka nysai bandia, kujenga jengo katika kiwanja kilichopo mtaa wa Mafia
Manji anatarajiwa kupokewa siku ya ijumaa na washabiki na wapenzi wa klabu hiyo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl Nyerere, amabapo kurudi kwake anatrajiwa kukamilisha ujenzi wa Uwanja wa Kaunda ikiwa ni pamoj ana kuweka nysai bandia, kujenga jengo katika kiwanja kilichopo mtaa wa Mafia