Si haki ya kibinadamu kumhukumu mgonjwa.![]()
My take : DPP afanye kazi Yake Manji kama anapelekwa makamani apelekwe na afungwe kama anafungwa.....
akitoka hospitali atarudi?Yes amepelekwa hospitali, hali ni mbaya.
Mkuu mchezo unaweza kuanzia hapo, utasikia matibabu yake hayawezekani Tanzania.akitoka hospitali atarudi?
hakuna pia nafasi ya kurenew stem.mhh jamani,au ajazoe mambo hayo![]()
Huu mchezo wanaoucheza una hatari kubwa sana!Mkuu mchezo unaweza kuanzia hapo, utasikia matibabu yake hayawezekani Tanzania.
Waswahili husema party ya kimya kimyaMkuu mchezo unaweza kuanzia hapo, utasikia matibabu yake hayawezekani Tanzania.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us