Ndg zangu wana JF
Nimepata taarifa za uhakika kuwa MANJI ameanzisha chombo cha habari ambacho kitakua na Magazeti,Tv na Radio na ameanza na gazeti la yanga kulichukua na kutokana na taarifa za uhakika ni maandalizi ya 2015.
Mpango wao ni kuwa na gazeti la daily la kisiasa, la kiingereza la kisiasa, na la michezo la kiswahili na la kiingereza.
MUHINGO NDIYE ATAKAYEKUWA MWENDESHAJI WA CHOMBO HICHO CHA HABARI.
Nimepata taarifa za uhakika kuwa MANJI ameanzisha chombo cha habari ambacho kitakua na Magazeti,Tv na Radio na ameanza na gazeti la yanga kulichukua na kutokana na taarifa za uhakika ni maandalizi ya 2015.
Mpango wao ni kuwa na gazeti la daily la kisiasa, la kiingereza la kisiasa, na la michezo la kiswahili na la kiingereza.
MUHINGO NDIYE ATAKAYEKUWA MWENDESHAJI WA CHOMBO HICHO CHA HABARI.