Katika dunia ya leo hakuna mtu au taasisi inayoweza kufanya jambo kubwa la uwekezaji bila ya kupeana company,uliza uwanja wa fly emirates umejengwaje au nisikkupeleke mbali sana,uwanja wetu wa taifa umejengwa na serikali yetu pekee? NA WACHINA WAMEONDOKA BAADA YA UJENZI AU BADO WAPO?au draja la kigamboni aujui kama linajengwa na ppf? Acha uzamani nduguDuniani hakuna cha bure........subirini mtaona.....huyu jamaa kwenye masuala ya ardhi hajambo
Katika dunia ya leo hakuna mtu au taasisi inayoweza kufanya jambo kubwa la uwekezaji bila ya kupeana company,uliza uwanja wa fly emirates umejengwaje au nisikkupeleke mbali sana,uwanja wetu wa taifa umejengwa na serikali yetu pekee? NA WACHINA WAMEONDOKA BAADA YA UJENZI AU BADO WAPO?au draja la kigamboni aujui kama linajengwa na ppf? Acha uzamani ndugu
usilete mambo ya ushabiki bali kuwa serious kama wale wazee wa awali (sijui Tabu Mangala and the like) walioweza kumobilise wanachama na kuweza kujenga majengo ya clubs bila tamaa na sio hawa wa sasa wakiongozwa na vijana akina Bakili walioamua kumkabidhi kila kitu mtu ambaye hata 'mafisadi' walimtilia mashaka kwenye nomination ya uwakilishi jimbo la Kigamboni!Hapo kwenye red labda neno sahihi ulilotaka kumaanisha ni "Watindiga" ngoja nikuulize....unafikiri Yanga kuna Watindiga kama Simba?
ili kupata hela za cement kwa kuanzia amemfukuza kocha na afsa habari mshanunuliwa ninyi,ila najua tarehe tatu ndio mwisho wa manji kuwepo pale jangwani.Kwani huo uwanja wenu wa huko bush utakuwa wa nani kama si wa mzee wa Mogadishu? Hakika nyani haoni kundule huona la mwenzake! Acheni Manji afanye vitu vyake ambavyo MahaRage haviwezi.
kuna tofauti kubwa ya shabiki,mwqanachama,na mpenzi mara nyingi shabiki huwa hana akili na wengi ndio waliojaa simba na yanga.usilete mambo ya ushabiki bali kuwa serious kama wale wazee wa awali (sijui Tabu Mangala and the like) walioweza kumobilise wanachama na kuweza kujenga majengo ya clubs bila tamaa na sio hawa wa sasa wakiongozwa na vijana akina Bakili walioamua kumkabidhi kila kitu mtu ambaye hata 'mafisadi' walimtilia mashaka kwenye nomination ya uwakilishi jimbo la Kigamboni!
Cha kusikitisha zaidi, hao akina Mangala hawakuwa na aina ya mapenzi ya kushikiana hata mapanga lakini hawa wa sasa wanaweza hata kukuua eti kwa upenzi wao kwa timu.
Mimi ni mwananchama mfu wa Yanga, je nyie wanachama hai wa Yanga mtachangia shilingi ngapi katika huo mradi?
hi go go go go go mtaitumia vizuri baada ya mechi na simba.Poleni wanasimba roho inauma eee, manji gogogogogoooo,.
angalia 'usiingie' chaka mkuu E GAGNANT.Yanga itakuwa kama timu za ulaya. Haiwezekani bwana azam ina uwanja halafu timu kongwe zina uchochoro.
angalia 'usiingie' chaka mkuu E GAGNANT.
Timu ina departments na sections tofauti mfano wachezaji, utawala, wapenzi, wanachama, mashabiki nk. Uelewa na ustaarabu wa hawa watu ndio unapelekea ukubwa wa timu, angalau nusu ya hawa wadau wawe na uelewa wa wanachokifanya. Hapa bongo kila unayemuona anashughulika katika milolongo huu ni njaa tu. Bora hao wazee wa enzi hizo unaweza kusema njaa walikuwa nazo lakini kwao maadili na uaminifu kilikuwa kigezo kikubwa na ndio wakaweza kufanya waliyoyafanya.
Ukiangalia sehemu ya timu kama Yanga na jinsi huyu kocha alivyoacha kazi, wachezaji kama Asamoah, Mwape unaona wazi kuwa visionza wadu hawa ziko very low na usitegemee makuu hapo!
kuna tofauti kubwa ya shabiki,mwqanachama,na mpenzi mara nyingi shabiki huwa hana akili na wengi ndio waliojaa simba na yanga.
Hivi katika sakata la kutimuliwa kocha huyu mzee hakuongea?Wapi mzee akilimali.