Manji aachiwa na TAKUKURU kwa dhamana

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ niliweka sahihisho kwamba ilikuwa si kweli. Kuna mtu kule Twitter alianzisha uzushi basi ndani ya masaa machache ukasambaa kama moto hadi vyombo vya habari vikubwa vilivyotafuta uthibitisho ndiyo ikajulikana kwamba bado yuko nyumba kubwa.
Heineken full kulewaa....badae nikashangaa uzi wako mod akalala nao mbele

Nilitegemea ulimwe life ban lione

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
niliweka sahihisho kwamba ilikuwa si kweli. Kuna mtu kule Twitter alianzisha uzushi basi ndani ya masaa machache ukasambaa kama moto hadi vyombo vya habari vikubwa vilivyotafuta uthibitisho ndiyo ikajulikana kwamba bado yuko nyumba kubwa.
Kwahiyo jamaa hawamtemi? Bado wanae?


Ooh my R.Kelly

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Takukuru watakuja kusema Hana Hatia
Na Manji ataendelea na shughuli zake.
 
Hata kesi zake kule New York na Chicago hazijaanza kusikilizwa nadhani zimechelewa kusikilizwa kwa sababu ya COVID. Ana hali mbaya.
Masikini atajifia tu humo kwenye cell

Mwambie akaze kama babu Cosby, huoni ana 80's lakini bado kakaza brighter future ahead, full matumaini... Sasa yy 50's ana wenge mwambie atulie

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Je, passport yake wamechukua? Vipi bank accounts zake ana access nazo 24/7? Only time will tell.
Account bado zina hela? Hakuna notice of urgency sababu ya pending cases?
Manji, kwani lazima afanye biashara Tanzania? Na Tanesco au kuna mteja mwingine?
Kuna sheria inayomzuia Mtanzania kufanya biashara Tanzania? Kwani aliyekwambia mfanyabiashara mkubwa kama Manji anafanya biashara na mteja mmoja ni nani?

Wewe ndio umeniambia. Maana Manji ni mtanzania wa kwanza kuwa na passport mbili na bado akawa mtanzania.
Uchawa una kazi sana
 
Hebu twambie ana passport ipi ya nchi nyingine? Hukusikia kuhusu kesi FAKE 147 zilizofutwa na Samia kutokana na hizo BOGUS INSTITUTIONS kuwa busy kuwabambikia Watanzania wasio na hatia kesi FAKE kisha kuwapora mabilions yao? Acha KUKURUPUKA na kuonyesha UJUHA hadharani!!!!


Account bado zina hela? Hakuna notice of urgency sababu ya pending cases?

Manji, kwani lazima afanye biashara Tanzania? Na Tanesco au kuna mteja mwingine?

Wewe ndio umeniambia. Maana Manji ni mtanzania wa kwanza kuwa na passport mbili na bado akawa mtanzania.
Uchawa una kazi sana
 
Back
Top Bottom