Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Jeshi la Polisi nchini na Halmashauri ya wilaya ya Ilala wamekataa ombi la waislam kufanya swala ma mkutano waliokuwa wameupanga kuufanya ndani ya viwanja vya Jangwani leo kupinga filamu inayo mdharirisha mtume Muhamad na uislam kwa ujumla
Sosi: ITV Habari ya saa kumi na mbili Asubuhi
Sosi: ITV Habari ya saa kumi na mbili Asubuhi