Kwa wale ambao hamjui;
Moja ya maelekezo ya ujenzi kutoka manispaa yanayopaswa kuzingatiwa unapojenga nyumba ya ghorofa mtaani kwako, (Sikumbuki kifungu namba ngapi) ni kuhakikisha unawaezekea vyoo na Bafu majilani zako wanao kuzunguka kila upande wasiozidi wanne pande zote. Usipofanya hivo unaweza shitakiwa Kwa kosa la kuingilia faragha ya mtu (Uzalilishaji)
Moja ya maelekezo ya ujenzi kutoka manispaa yanayopaswa kuzingatiwa unapojenga nyumba ya ghorofa mtaani kwako, (Sikumbuki kifungu namba ngapi) ni kuhakikisha unawaezekea vyoo na Bafu majilani zako wanao kuzunguka kila upande wasiozidi wanne pande zote. Usipofanya hivo unaweza shitakiwa Kwa kosa la kuingilia faragha ya mtu (Uzalilishaji)