Unadhani enzi zaMfalme Daudi wakati alipokuwa akitembea kwenye ghorofa lake ndipo akamuona mke wa askari wake akioga kisha akavutiwa hadi akafanya njama yule askari akafia vitani, je lile bafu lilikuwa limeezekwa au halikuezekwa?kama ni kweli basi hizo sheria ziliandaliwa na watu masikini
Mwananyamala kwa kopa tunachunguliwa sana NA vyoo vyetu vya ghorofa ......hata yale maghorofa pale Victoria wanatupiga sana chabo.....kumbe sheria IPO ....ngoja siku nipigikeKwa wale ambao hamjui;
Moja ya maelekezo ya ujenzi kutoka manispaa yanayopaswa kuzingatiwa unapojenga nyumba ya ghorofa mtaani kwako, (Sikumbuki kifungu namba ngapi) ni kuhakikisha unawaezekea vyoo na Bafu majilani zako wanao kuzunguka kila upande wasiozidi wanne pande zote. Usipofanya hivo unaweza shitakiwa Kwa kosa la kuingilia faragha ya mtu (Uzalilishaji)