Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

Akilihuru

JF-Expert Member
May 20, 2022
1,444
2,832
Ishu vipi wakuu,

Wakubwa leo kuna swali linalosumbua baadhi ya watu wanaoishi katika jiji letu kubwa la Dar es salaam. Swali lenyewe linahusu wilaya zetu tano za mkoa huu wa Dar es salaam. Yani wilaya

1) Kinondoni
2) Ilala
3) Ubungo
4) Temeke
5) Kigamboni

Swali lililopo ni watu kutaka kujua kati ya hizo wilaya tano ni wilaya gani ambayo inaongoza kuwa na sifa zifuatazo hapo chini:

a) Wajanja wengi.
b) Watu wenye vipato vya juu.
c) Mijengo ya maana.
d) Maendeleo yanayoonekana kama vile barabara nzuri, hospital na shule nzuri za serikali na private.
e) Miundo mbinu mizuri na hali ya hewa safi.
f) Upatikanaji wa maji na meme.
g) Kuchangamka kibiashara.
h) Vilevile ni sehem ipi katika wilaya hizo ambayo unaiona inafaa wewe binafsi kuishi aidha kwa kupanga au kwa kujenga nyumba yako mwenyewe?

Kwa wale ambao hawazifahamu vizuri kata za wilaya hizo naomba niziorodheshe hapo chini ili kuwarahisishia watu ambao hawafahamu kata fulan ipo katika wilaya fulan nk.

Kata za wilaya ya KINONDONI ni:
Kinondoni, Bunju, Hananasif, Kawe, Wazo, Kigogo, Kijitonyama, Kunduchi, Mabwepande, Magomeni, Makongo, Makumbusho, Mbezi juu, Mbweni, Mikocheni, Msasani, Mwananyamala, Mzimuni, Ndugumbi, Tandale.

Kata za wilaya ya ILALA ni:
Ilala, Kariakoo, Buguruni, Gerezani, Chanika, Gongo la mboto, Jangwani, Kisutu, Kipawa, Kimanga, Kinyerezi, Kitunda, Kivukoni, Kiwalani, Majohe, Mchafukoge, Mchikichini, Msongola, Pugu, Segerea, Tabata, Ukonga, Upanga mashariki, Upanga magharibi, Vingunguti.

Kata za wilaya ya UBUNGO ni:
Ubungo, Kimara, Mbezi, Goba, Kibamba, Mabibo, Kwemba, Makuburi, Makurumla, Manzese, Mburahati, Msigani, Saranga, Sinza.

Kata za wilaya ya TEMEKE ni:
Temeke, Azimio, Buza, Chamazi, Chang'ombe, Tandika, Charambe, Keko, Kibonde maji, Kiburugwa, Kijichi, Kilakala, Kulungule, Kurasini, Makangarawe, Mbagala, Mbagala kuu, Mianzini, Miburani, Mtoni, Sandali, Toangoma, Yombo vituka.

Kata za wilaya ya KIGAMBONI ni:
Kigamboni, Mjimwema, Kibada, Kimbiji, Kisarawe, Pembamnazi, Somangila, Tungi, Vijibweni.

Wakuu wenye uelewa mpana na jiji letu, pamoja na wilaya zetu karibuni tuchangie ili tupate kujua wilaya ipi inayobeba hadhi nzima ya jiji letu la Dar es salaam na nchi kwa ujumla.
 
Ilala CBD ndio kwa wajanja. Ilala ndio jiji kwa Mkoa w Dar es Salaam, huko kwingine ndio Wilayani.
😂😂😂 Umenichekesha mkuu eti "Ilala ndio jiji kwa mkoa wa Dar huko mwingine ni wilayani tu" lets wait to see wapi kuna sifa nyingi zilizoandikwa hapo juu.
 
Ishu vipi wakuu,

Wakubwa leo kuna swali linalosumbua baadhi ya watu wanaoishi katika jiji letu kubwa la Dar es salaam. Swali lenyewe linahusu wilaya zetu tano za mkoa huu wa Dar es salaam. Yani wilaya

1) Kinondoni
2) Ilala
3) Ubungo
4) Temeke
5) Kigamboni

Swali lililopo ni watu kutaka kujua kati ya hizo wilaya tano ni wilaya gani ambayo inaongoza kuwa na sifa zifuatazo hapo chini:

a) Wajanja wengi.
b) Watu wenye vipato vya juu.
c) Mijengo ya maana.
d) Maendeleo yanayoonekana kama vile barabara nzuri, hospital na shule nzuri za serikali na private.
e) Miundo mbinu mizuri na hali ya hewa safi.
f) Upatikanaji wa maji na meme.
g) Kuchangamka kibiashara.
h) Vilevile ni sehem ipi katika wilaya hizo ambayo unaiona inafaa wewe binafsi kuishi aidha kwa kupanga au kwa kujenga nyumba yako mwenyewe?

Kwa wale ambao hawazifahamu vizuri kata za wilaya hizo naomba niziorodheshe hapo chini ili kuwarahisishia watu ambao hawafahamu kata fulan ipo katika wilaya fulan nk.

Kata za wilaya ya KINONDONI ni:
Kinondoni, Bunju, Hananasif, Kawe, Wazo, Kigogo, Kijitonyama, Kunduchi, Mabwepande, Magomeni, Makongo, Makumbusho, Mbezi juu, Mbweni, Mikocheni, Msasani, Mwananyamala, Mzimuni, Ndugumbi, Tandale.

Kata za wilaya ya ILALA ni:
Ilala, Kariakoo, Buguruni, Gerezani, Chanika, Gongo la mboto, Jangwani, Kisutu, Kipawa, Kimanga, Kinyerezi, Kitunda, Kivukoni, Kiwalani, Majohe, Mchafukoge, Mchikichini, Msongola, Pugu, Segerea, Tabata, Ukonga, Upanga mashariki, Upanga magharibi, Vingunguti.

Kata za wilaya ya UBUNGO ni:
Ubungo, Kimara, Mbezi, Goba, Kibamba, Mabibo, Kwemba, Makuburi, Makurumla, Manzese, Mburahati, Msigani, Saranga, Sinza.

Kata za wilaya ya TEMEKE ni:
Temeke, Azimio, Buza, Chamazi, Chang'ombe, Tandika, Charambe, Keko, Kibonde maji, Kiburugwa, Kijichi, Kilakala, Kulungule, Kurasini, Makangarawe, Mbagala, Mbagala kuu, Mianzini, Miburani, Mtoni, Sandali, Toangoma, Yombo vituka.

Kata za wilaya ya KIGAMBONI ni:
Kigamboni, Mjimwema, Kibada, Kimbiji, Kisarawe, Pembamnazi, Somangila, Tungi, Vijibweni.

Wakuu wenye uelewa mpana na jiji letu, pamoja na wilaya zetu karibuni tuchangie ili tupate kujua wilaya ipi inayobeba hadhi nzima ya jiji letu la Dar es salaam na nchi kwa ujumla.
Wewe ni mzaliwa wa Dar?
 
Kibiashara wilaya ya Ilala iko vizuri, ila kwa kuishi na sifa zingine ulizotaja Kinondoni inaongoza. Huu ni mtizamo wangu lakini.
Ok mkuu, wewe ni mtu wa pili ambae umeizungumzia wilaya ya Ilala na Kinondoni kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom