"Tangu nizaliwe sijawahi kuwa na Mwanamke kwenye mahusiano kwasababu mimi ndio mdada mwenyewe, nina mpango wa kwenda kunyofoa sehemu zangu za siri za kiume niweke za kike, lakini pia nataka nikaweke matiti. Hii itanichukua miezi sita na nitapotea kabisa kwenye mitandao ili kuugulia maumivu ya haya mabadiliko ninayoenda kuyafanya"
"Nafanya hivi kwasababu ndio maisha niliyochagua, nilitoka Kenya kuja huku Ujerumani kujiuza, lazima nihakikishe najiuza mjini na vijijini, siogopi kufa, siogopi Mungu, siogopi chochote, nimejitoa mhanga kwa kila litakalonitokea kwenye maisha yangu"- Chokuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.