KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nikiwa baa ya Matutina maeneo ya Mbezi beach(Tanki Bovu) Kaja jimama lakikenya limekuja na driver wake likamwambia mzee wa Kibajaj nataka gari yangu niliyokununulia kwani wewe umeamua kuwa na rozi hadi umempa mimba inaelekea ndo unaye mpenda!!Watu wakabaki sameshika midomo japo usiku lakini kwajinsi alivyokuwa anashout kila mtu kasikia nikawa naona aibu mimi mwenyewe utadhani dhahama hilo limenikuta mimi!!!Kumbe wanamziki wanamilikiwa na mijimama!!!Ila aibu kwao!!!