Baada ya mashambulizi kutoka kwa Dk.Kitila Mkumbo Kama alivyoandika wiki Jana katika makala yake Raia Mwema, Mangula katika Gazeti la Raia Mwema Leo anatoa mfano ya kuwa kuwang'oa watoa rushwa za uchaguzi akimtaja Manj na Thomas Nyimbo aliyewahi kwenda CHADEMA baada ya kukatwa jina CCM na akina Mangula.
Nawasilisha kwa mjadala watu.
Nawasilisha kwa mjadala watu.