Mrengo Hans
Member
- Sep 19, 2012
- 40
- 52
katika mkutano wa hivi karibuni ambapo timu mpya ya CCM ilifika kwa mara ya kwanza katika ofisi za chama DSM baada ya uchaguzi huko Dodoma, maneno ya mangula na kinana yalionyesha kuwa Mukama alishindwa kufanya kazi ya siasa akaishia kuwa mlipukaji wa mambo na hivyo kumfanya Nape kulemewa.
Mukama ameendelea kusakamwa kuwa amekuwa katibu "Looser" - "Aliyeshindwa" licha ya majigambo ya mukama kuwa amekuwa katibu msomi ukilinganisha na aliyemtangulia.
Majigambo haya yamejaa dhihaka badala ya kujenga.
Mukama ameendelea kusakamwa kuwa amekuwa katibu "Looser" - "Aliyeshindwa" licha ya majigambo ya mukama kuwa amekuwa katibu msomi ukilinganisha na aliyemtangulia.
Majigambo haya yamejaa dhihaka badala ya kujenga.