Mangula isafisheni CCM imekosa muelekeo: Lini chama kilijadili suala Mahakama ya Kadhi?

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
Leo katika gazeti la leo Nipashe, limesikika " Mangula awavaa Maaskofu, Mahakama ya Kadhi".
(uk. 1,tar 10/4/2015)
Mzee Mangula amesikika akiwalaumu Maaskofu kutokana na msimamo wao na tamko la kutounga mkono aidha uandaaji wa kura ya maoni na vile vile kulipinga kabisa jaribio la uingizaji wa suala la Mahakama ya Kadhi katika rasimu ya katiba na hivyo basi kuwa moja ya dondoo katika sheria.

Mangula amesema leo kuwa hakuna kitu kama hicho na mimi nampongeza kwa hilo.

Hata hivyo suala zima bado ni utata mtupu.
Siamini kuwa CCM ilikuwa imelala muda wote huo hadi serikali ina contemplate kuliingiza suala la Mahakama ya Kadhi bungeni.
Na kwa vile lilishatayarishwa kwa uwasilishwaji bungeni, hii ilikuwa kwa ridhaa na vikao vipi vya chama?

Na je kama hakuna vikao vya chama kupendekeza suala hili na kulipeleka bungeni, chama kina maoni gani juu ya hili, na jaribio hili.
Chama ni cha wanachama na very fast kinaanza kugeuka kuwa gulio tu la wasaka uongozi badala ya uwakilishaji wa sera za wanachama wake.
CCM ni ya wanachama wa dini zote, rangi zote, makabila yote na rangi zote.

Mangula lazima atambue kuwa Maaskofu hawakuamka asubuhi na kutoa tamko lao, tamko lilitoka kutokana na failure ya CCM kuona hatari inayoikabili nchi ikiwa ni pamoja na mifarakano ya kidini.

Watanzania tumetoka mbali katika umoja wetu na kimoja kilichosaidia ni kuondoa dini kama issue ya kisiasa.

Jaribio hili la kuchanganya dini na siasa ni baya, lakini mbaya zaidi ni CCM kukaa kimya ikitazama michakato ya kidini iki flourish bila kuyakemea.

Moja wapo ya ahadi za mwana CCM ni Fitina kwangu ni mwiko, na Nitasema kweli daima
 
Leo katika gazeti la leo Nipashe, limesikika " Mangula awavaa Maaskofu, Mahakama ya Kadhi".
(uk. 1,tar 10/4/2015)
Mzee Mangula amesikika akiwalaumu Maaskofu kutokana na msimamo wao na tamko la kutounga mkono aidha uandaaji wa kura ya maoni na vile vile kulipinga kabisa jaribio la uingizaji wa suala la Mahakama ya Kadhi katika rasimu ya katiba na hivyo basi kuwa moja ya dondoo katika sheria.

Mangula amesema leo kuwa hakuna kitu kama hicho na mimi nampongeza kwa hilo.

Hata hivyo suala zima bado ni utata mtupu.
Siamini kuwa CCM ilikuwa imelala muda wote huo hadi serikali ina contemplate kuliingiza suala la Mahakama ya Kadhi bungeni.
Na kwa vile lilishatayarishwa kwa uwasilishwaji bungeni, hii ilikuwa kwa ridhaa na vikao vipi vya chama?

Na je kama hakuna vikao vya chama kupendekeza suala hili na kulipeleka bungeni, chama kina maoni gani juu ya hili, na jaribio hili.
Chama ni cha wanachama na very fast kinaanza kugeuka kuwa gulio tu la wasaka uongozi badala ya uwakilishaji wa sera za wanachama wake.
CCM ni ya wanachama wa dini zote, rangi zote, makabila yote na rangi zote.

Mangula lazima atambue kuwa Maaskofu hawakuamka asubuhi na kutoa tamko lao, tamko lilitoka kutokana na failure ya CCM kuona hatari inayoikabili nchi ikiwa ni pamoja na mifarakano ya kidini.

Watanzania tumetoka mbali katika umoja wetu na kimoja kilichosaidia ni kuondoa dini kama issue ya kisiasa.

Jaribio hili la kuchanganya dini na siasa ni baya, lakini mbaya zaidi ni CCM kukaa kimya ikitazama michakato ya kidini iki flourish bila kuyakemea.

Moja wapo ya ahadi za mwana CCM ni Fitina kwangu ni mwiko, na Nitasema kweli daima
Mkuu si unaambiwa suala la Mahakama ya Kadhi lipo kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2010 - 2015. Kwa hiyo serikali ilikuwa inatekeleza Ilani!
 
Mkuu si unaambiwa suala la Mahakama ya Kadhi lipo kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2010 - 2015. Kwa hiyo serikali ilikuwa inatekeleza Ilani!
Mkuu pengine Ilani hiyo ilipitishwa mlango wa uani kuingizwa kwenye ajenda.
Sina kumbukumbu kuwa hiyo ni ajenda mahsusi na kero ya watanzania.

Mwenye hiyo ilani aibandike hapa.(Nape najua unapitiaga humu)
 
Mahakama ya Kadhi ni moja kati ya mitaji ya kupatia kura wakati wa uchaguzi mkuu. Huo uchaguzi ukisha linawekwa kapuni.
 
Leo katika gazeti la leo Nipashe, limesikika " Mangula awavaa Maaskofu, Mahakama ya Kadhi".
(uk. 1,tar 10/4/2015)
Mzee Mangula amesikika akiwalaumu Maaskofu kutokana na msimamo wao na tamko la kutounga mkono aidha uandaaji wa kura ya maoni na vile vile kulipinga kabisa jaribio la uingizaji wa suala la Mahakama ya Kadhi katika rasimu ya katiba na hivyo basi kuwa moja ya dondoo katika sheria.

Mangula amesema leo kuwa hakuna kitu kama hicho na mimi nampongeza kwa hilo.

Hata hivyo suala zima bado ni utata mtupu.
Siamini kuwa CCM ilikuwa imelala muda wote huo hadi serikali ina contemplate kuliingiza suala la Mahakama ya Kadhi bungeni.
Na kwa vile lilishatayarishwa kwa uwasilishwaji bungeni, hii ilikuwa kwa ridhaa na vikao vipi vya chama?

Na je kama hakuna vikao vya chama kupendekeza suala hili na kulipeleka bungeni, chama kina maoni gani juu ya hili, na jaribio hili.
Chama ni cha wanachama na very fast kinaanza kugeuka kuwa gulio tu la wasaka uongozi badala ya uwakilishaji wa sera za wanachama wake.
CCM ni ya wanachama wa dini zote, rangi zote, makabila yote na rangi zote.

Mangula lazima atambue kuwa Maaskofu hawakuamka asubuhi na kutoa tamko lao, tamko lilitoka kutokana na failure ya CCM kuona hatari inayoikabili nchi ikiwa ni pamoja na mifarakano ya kidini.

Watanzania tumetoka mbali katika umoja wetu na kimoja kilichosaidia ni kuondoa dini kama issue ya kisiasa.

Jaribio hili la kuchanganya dini na siasa ni baya, lakini mbaya zaidi ni CCM kukaa kimya ikitazama michakato ya kidini iki flourish bila kuyakemea.

Moja wapo ya ahadi za mwana CCM ni Fitina kwangu ni mwiko, na Nitasema kweli daima

Salam.
Hapa Tanzania, katika kila aina ya mchakato wowote ule, masuala mawili hujitokeza. 1. Tanganyika 2. Mahakama ya kadhi. Haya mambo hujitokeza mara kwa mara na huumiza vichwa vya watu pamoja na kuyumbisha serikali.

Chamsingi ni kukaa chini na kuyajadili haya mambo kwa kina, la sivyo, nchi itayumba huko mbeleni.
 
masopskyindi, hata wewe unakosoa chama tawala? Kweli CCM kwisha kazi!
Mkuu CCM haijafa wala nini, ila inajiletea kitanda cga hospitali yenyewe.
Hili la kuingiza sera zinazoleta ufarakano katika jamii sijui wameipata wapi.

Ukiingiza uislamu katika siasa utegemee ukristo upinge, vivyo ukiingiza ukristo katika siasa utegemee uislamu upinge, hilo ni dhahiri.
Ssa nashangaa CCM inapata udhubutu toka wapi kulea na kupanda mbegu za mifarakano katika jamii.

Kwa tunao kitakia chama hiki CCM mema lazima tukionye, tena kwa dhati.
 
Leo katika gazeti la leo Nipashe, limesikika " Mangula awavaa Maaskofu, Mahakama ya Kadhi".
(uk. 1,tar 10/4/2015)
Mzee Mangula amesikika akiwalaumu Maaskofu kutokana na msimamo wao na tamko la kutounga mkono aidha uandaaji wa kura ya maoni na vile vile kulipinga kabisa jaribio la uingizaji wa suala la Mahakama ya Kadhi katika rasimu ya katiba na hivyo basi kuwa moja ya dondoo katika sheria.

Mangula amesema leo kuwa hakuna kitu kama hicho na mimi nampongeza kwa hilo.

Hata hivyo suala zima bado ni utata mtupu.
Siamini kuwa CCM ilikuwa imelala muda wote huo hadi serikali ina contemplate kuliingiza suala la Mahakama ya Kadhi bungeni.
Na kwa vile lilishatayarishwa kwa uwasilishwaji bungeni, hii ilikuwa kwa ridhaa na vikao vipi vya chama?

Na je kama hakuna vikao vya chama kupendekeza suala hili na kulipeleka bungeni, chama kina maoni gani juu ya hili, na jaribio hili.
Chama ni cha wanachama na very fast kinaanza kugeuka kuwa gulio tu la wasaka uongozi badala ya uwakilishaji wa sera za wanachama wake.
CCM ni ya wanachama wa dini zote, rangi zote, makabila yote na rangi zote.

Mangula lazima atambue kuwa Maaskofu hawakuamka asubuhi na kutoa tamko lao, tamko lilitoka kutokana na failure ya CCM kuona hatari inayoikabili nchi ikiwa ni pamoja na mifarakano ya kidini.

Watanzania tumetoka mbali katika umoja wetu na kimoja kilichosaidia ni kuondoa dini kama issue ya kisiasa.

Jaribio hili la kuchanganya dini na siasa ni baya, lakini mbaya zaidi ni CCM kukaa kimya ikitazama michakato ya kidini iki flourish bila kuyakemea.

Moja wapo ya ahadi za mwana CCM ni Fitina kwangu ni mwiko, na Nitasema kweli daima
Mimi nafikiri huyu mzee wa kilimo cha nyanya ungemuuliza alipofikia kuhusu ahadi yake ya kuwaondoa wote waliopata uongozi ndani ya CCM kwa njia za rushwa. Alijipa miezi 6 badala ya kufanya alichoahidi akaenda kuoa. Baada ya hapo akajipa miezi 6 tena. Baada ya hapo akaenda Honey moon na hajasikika tena na haijulikani kama karudi na kama karudi je anakumbuka ahadi zake au wife kawa heavy hivyo yuko busy kumsindikiza clinic
 
Heshima kwako mkuu nimeipitia Ilani hiyo na hasa vipengere vinavyohusika lakini sikuona Mahakama ya Kadhi

"Demokrasi na Utawala Bora

164. Demokrasi na Utawala Bora ni hatua muhimu katika ujenzi wa jamii yenye
umoja, mshikamano, uadilifu na uwajibikaji. Ili kuendeleza ujenzi wa demokrasia
na utawala bora katika kipindi cha miaka mitano ijayo (2010-2015) CCM
itaendeleza azma yake ya kuimarisha na kukuza demokrasia na utawala bora na
kuhakikisha kwamba SMZ inatekeleza yafuatayo:-
(a) Kusimamia utekelezaji wa kazi na majukumu ya Serikali kwa kuzingatia
misingi ya demokrasia na utawala bora kama ilivyoainishwa katika Katiba
ya nchi, kuimarisha uwazi na uwajibikaji na kulifanya suala la maadili
kuwa agenda ya kitaifa.
(b) Kuendeleza kazi ya utekelezaji wa mkakati wa elimu ya uraia, ikiwemo
elimu ya demokrasia, haki za binadamu na utawala bora kwa viongozi,
watendaji na wananchi kwa jumla.
(c) Kukamilisha kazi ya kuandaa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
na kusimamia utekelezaji wake, ili kuimarisha mapambano dhidi ya
rushwa.
(d) Kuimarisha ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar na kukamilisha
hatua za wanasheria wa ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka kuendesha
mashtaka katika ngazi zote za mahakama.
(e) Kukiimarisha kitengo cha kupokea malalamiko kwa kuyapokea, kuyafanyia
kazi na kuyapatia ufumbuzi wa haraka.
(f) Kuimarisha ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, kwa kuwapatia
watendaji wake elimu ya kada mpya za ukaguzi, ukiwemo Ukaguzi wa
Thamani (Value for Money Auditing), Ukaguzi wa Komputa (Computerize
Auditing) na Ukaguzi wa Mazingira (Enviromental Auditing).
(g) Kuimarisha Mahakama kwa kujenga majengo mapya, nyumba za
Mahakimu katika vituo vya kazi Unguja na Pemba, kuzipatia vifaa vya
kisasa na kufanya marekebisho ya sheria na kanuni za utendaji kazi wa
Mahakama.

107

(h) Kuanzisha Mahakama ya Biashara Zanzibar.
(i) Kufanyiwa mapitio ya Sheria ya Asasi za Wananchi (NGO's) na kuweka
mfumo wa kisasa utakaorahisisha usajili wa Jumuiya hizo.
(j) Kukamilisha ujenzi wa ukumbi mpya wa Baraza la Wawakilishi."


Hii ni nukuu kutoka Ilani ya CCM 2010-2015, na sijaona hilo a mahakama ya Kadhi.
Sasa serikali inapotaka kuliingiza Bungeni suala la Mahakama ya Kadhi kwa njia ya mlango wa nyuma, suala hili linamfaidisha nani na kwa nia gani haswa.
 
Salam.
Hapa Tanzania, katika kila aina ya mchakato wowote ule, masuala mawili hujitokeza. 1. Tanganyika 2. Mahakama ya kadhi. Haya mambo hujitokeza mara kwa mara na huumiza vichwa vya watu pamoja na kuyumbisha serikali.

Chamsingi ni kukaa chini na kuyajadili haya mambo kwa kina, la sivyo, nchi itayumba huko mbeleni.
Tumeipitia hiyo ilani, ni wazi kuwa katika CCM kuna wanasiasa walioishiwa sera, na wanatafuta ile kitu inaitwa "cheap and populist politics", mtu anatafuta kura ili kuwafurahisha watu fulani tu , lakini haoni damage kubwa zaidi inayomkabili kutokana na politics hizo.
 
Mkuu CCM haijafa wala nini, ila inajiletea kitanda cga hospitali yenyewe.
Hili la kuingiza sera zinazoleta ufarakano katika jamii sijui wameipata wapi.

Ukiingiza uislamu katika siasa utegemee ukristo upinge, vivyo ukiingiza ukristo katika siasa utegemee uislamu upinge, hilo ni dhahiri.
Ssa nashangaa CCM inapata udhubutu toka wapi kulea na kupanda mbegu za mifarakano katika jamii.

Kwa tunao kitakia chama hiki CCM mema lazima tukionye, tena kwa dhati.
Mwalimu Nyerere alisema kuwa mwasiasa akifilisika ki sera anakimbilia kwenye udini na ukabila. Ni baada ya kuingiza udini ule kwenye ilani na kwenye kuomba katiba ipitishwe pale ktk Bunge la Katiba, sasa utaigharimu CCM. Wakiwapa Waislamu mahakama ya Kadhi Wakristo watawakataa. Wakiwanyima waislamu mahakama hiyo, Watawakataa. Ni heri wangelisimama na msimamo wa kweli na wakale wa CCM wakati kilipokuwa na sera ya kuwatetea wanyonge kuwa dola ta Tanzania sio ya dini yoyote. Nani anayeweza kusimama na msimamo huo ndani ya CCM kwa sasa?
 
Mwalimu Nyerere alisema kuwa mwasiasa akifilisika ki sera anakimbilia kwenye udini na ukabila. Ni baada ya kuingiza udini ule kwenye ilani na kwenye kuomba katiba ipitishwe pale ktk Bunge la Katiba, sasa utaigharimu CCM. Wakiwapa Waislamu mahakama ya Kadhi Wakristo watawakataa. Wakiwanyima waislamu mahakama hiyo, Watawakataa. Ni heri wangelisimama na msimamo wa kweli na wakale wa CCM wakati kilipokuwa na sera ya kuwatetea wanyonge kuwa dola ta Tanzania sio ya dini yoyote. Nani anayeweza kusimama na msimamo huo ndani ya CCM kwa sasa?
Ni keli mkuu , CCM badala ya kupigana maadui wa maendeleo yaani umaskini , ujinga magonjwa na utawala bora, imejiingiza katika sera za udini.
 
Back
Top Bottom