Kwa nini ajidhuru Mwenyewe?
1) Dawa ya matatizo haya ni kuhakikisha kwanza kwa kushuhudia kitendo hicho cha Zinaa kwa macho yako kisha mpe talaka yake mzinifu huyo.
Hakikisha kwanza kabla ya kutoa talaka kwamba kweli anazini nje ya ndoa (inaweza kuwa shetani tu anakutanganya katika mawazo yako)
Ukihakikisha kwa macho yako kama kweli anazini hapo ndio mpe talaka yake.
2) Kisha owa mwingine mwenye kujiheshimu na mwenye kuheshimu familia yake (wanawake wema wapo wengi tu).
Songea alianza kurudi Dkt. Remmy so my dear semeki hutokuwa wa kwanza kurudi maji maji ati .
By the way iko shida mahali Fulani ..hii kuchelewa kuingia kwenye hii kitu hii . inatugharimu aisee .
TENA MNOOOO!kwa tukio la ufoo saro, mauaji ya ilala na hili hapa nimeamini wachaga wanajua kupenda.
muke ya mangi snowhite karibu machalari aiseee,kisusio inapanda? au umezoea pitiku na ugali wa unga wa muhogo kile songea, bombiiiii nyumbiiiii
Ustadhi uposahihi kabisa lakini huyu Mchagga huenda ana ndoa na hii ilikuw nyumba ndogo
sasa kazidiwa wanamgongea kila siku na kulala
sasa kaamua wakose wote ili huyo Mwanamke akahamie kwa huyo bwana
ngoja Money Stunna arudi tena huenda ana undani maana Wachagga wengi ni Ndoa moja (ya Kanisani)
Huyu ndugu yangu hakuwa na Bereta, vinginevyo angeleta muadhara kama ya kina Munisi
Mmmh hawa kaka zetu wamezidi
pesa siku hizi inapatikana kwa shida sana, nashangaa kumwona mchagga anayefagilia mapenzi kuliko pesa. huyu kazaliwa pwani huyu. wenzake wameacha wake zao moshi mgombani wamekuja mjini kutafuta pesa.Kwa mwendo huu jamaa zangu wa Moshi (wa kabila la akina Munisi) inabidi upewaji wa vibali vya kumili silaha uwekewe masharti tofauti na yale ya waombaji wengine.....Nashauri muongezewe pia na test ya Mirembe hospital kuangalia kiwango cha ukichaa wa muombaji!
Dah, ma bwashee nao vp? Mbona mapenzi yana wa-drive crazy sana? Mara Mushi, mara Munissi, wote hawa wameua na kujiua kwa ajili ya mapenzi! Lol, nifanye mpango wa kukapiga chini kale kademu kangu ka-kichagga, kasije kakanizulia tafrani bure!