dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Form six kuna somo tulisoma linaitwa GS kuna mambo tulijifunza katika maswala yanayohusu speech na public speaking
1.Avoid ambigous mannerism
eg kujikuna yl unaongea na vitu vinavyofanan na hvyo
2.Repetion ya words eg kwa mange yani yani yani yani yani mi sipublish comment yani yani yani walizotukana yani yani yani yani nasoma comments yani yani zaidi ya 500 yani yani kwa siku
yani yani yani umemsikiliza vizuri yani yani blog yani yani yani wanamtukana yani obama