Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,075
- 30,935
Nakwambiaje: chizi mgeni huyo. Ajielewi.Tunabishana na under 18 maana naona analeta na mambo ya primary ukiongea na yule asimtaka unaambiwa unajipendekeza
Nakwambiaje: chizi mgeni huyo. Ajielewi.Tunabishana na under 18 maana naona analeta na mambo ya primary ukiongea na yule asimtaka unaambiwa unajipendekeza
Wabongo si watu wazuriNa kuwaita wenzie Cheap nini sijui.. Mara akamlipie Bill ya umeme. Na wabongo walimtahadharisha. Sasa hivi kabaki na aibu zake.
Yeye mwenyew ni cheap ,ndo maana hajiamini picha mpaka aziedit weeee na kila saa kuonyesha kitovu nje dooooh!!!! Akitaka classy ajifunze kwanza stahaNa kuwaita wenzie Cheap nini sijui.. Mara akamlipie Bill ya umeme. Na wabongo walimtahadharisha. Sasa hivi kabaki na aibu zake.
Walimnyoosha. Sasa hivi kimya. Heshima imekuwepo.Wabongo si watu wazuri
Yeye mwenyew ni cheap ,ndo maana hajiamini picha mpaka aziedit weeee na kila saa kuonyesha kitovu nje dooooh!!!! Akitaka classy ajifunze kwanza staha
Tumeshakupotezea.. tafuta wenye akili kama zai muendelee. Badala ya kujibu hoja unaanza kushambulia watu. Na kuleta vitu usivyoulizwa. By FeliciaOuta here nshakutanisha mashost watatu thats numby's job.
Idumu JF
Na Numbisa ndo Zari hahahaaCajojo ndio mange
Walimnyoosha kisawa sawa hivi na umri ule akainvest kwa domo kijana mdogooooo ......bora hata angetarget wa umri wake wangeheshimiana !!!Wabongo si watu wazuri
Na kashapoteza mvutoTumeshakupotezea.. tafuta wenye akili kama zai muendelee. Badala ya kujibu hoja unaanza kushambulia watu. Na kuleta vitu usivyoulizwa. By Felicia
Ange invest kimya kimya na sio kuchamba watu. Mbona angefika mbali tuu yy akaanza kuleta nyodo ninyodoeWalimnyoosha kisawa sawa hivi na umri ule akainvest kwa domo kijana mdogooooo ......bora hata angetarget wa umri wake wangeheshimiana !!!
She wanted fame akapata na stress juu
Tumeshakupotezea.. tafuta wenye akili kama zai muendelee. Badala ya kujibu hoja unaanza kushambulia watu. Na kuleta vitu usivyoulizwa. By Felicia
Na Numbisa ndo Zari hahahaa
Mange ni noma ni hapa mnavo mdiscas ndo hua anatakaga hata shekhe mkuu wa dar alijaribu akajikuta analiaHukumbuki Shekhe alimpa Mwaka Mmoja Tu atakuwa Amepotea ..
Ndo maana Yake Hii sasa
Linafanana na viazi ndo maanaKuwa zari raha naona jina numbisa limekukaa gud kabisa
Linafanana na viazi ndo maana
Haya Numbu la ZariTrue,in sukuma viazi ni numbu na ndo orijini ya ID numbisa #nohardfeelings#bwahahahaha