Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,779
- 49,645
Amebaki kubwawaja tuu. Kahamia kujisifia vitoto vingine bana hahaaaKweli kuwa Msukule wa huyo Mganda naona unateseka.. Unachoandika hata hueleweki.
Amebaki kubwawaja tuu. Kahamia kujisifia vitoto vingine bana hahaaaKweli kuwa Msukule wa huyo Mganda naona unateseka.. Unachoandika hata hueleweki.
Zari mswahili saana basi tu ukingereza wake unambeba .....mama mtu mzima kubishana na vitoto khaaa !!!! Mie hata nilie mzid 3yrs tu siwez bishana naona kama dharau .kama hukuona uchafu wa huyo Boss wako aliopost hilo ni kosa lako. Kuna Acc. Ina majungu na fitna kama ya huyo Zari? Wakati anamtukana Hamisa alikuwa anamkosea nino? Uhuni wa Bwana ake anawatukana watu wengine.
Amlambishe nani? Labda kama nyie Misuluke yake. Ila sijawahi kuona kitu cha ku nishitua kwake. Zaidi ya maisha fake anayoishi.
io fake life ndio inayowavuta mumfollow na ndio inayowatoa povu hapabwahahahahahahah
Msyuuuuu hahaaaaa najua hata wewe umejicheka huko
Inakutoa Povu wewe siyo mwingine. Maana unahaha utadhani samaki kakosa Maji.io fake life ndio inayowavuta mumfollow na ndio inayowatoa povu hapabwahahahahahahah
Unajichoresha aisee
Numbi umeishiwa point unaanza kumuita Zari wako na kujichekesha chekesha
Lazima nikuite sasa unakujaje bila kuitwaCheki unavyonitaja thats me
Inakutoa Povu wewe siyo mwingine. Maana unahaha utadhani samaki kakosa Maji.
Anaficha makucha yake. Ujinga anaufanyia huko snapchat
Lazima nikuite sasa unakujaje bila kuitwa
Zari mswahili saana basi tu ukingereza wake unambeba .....mama mtu mzima kubishana na vitoto khaaa !!!! Mie hata nilie mzid 3yrs tu siwez bishana naona kama dharau .
Wewe endelea kumfolow Mange kwa uficho
Tunabishana na under 18 maana naona analeta na mambo ya primary ukiongea na yule asiempenda unaambiwa unajipendekezaNani anajipendekeza kwa nani na nani?
Hana akili watoto wake wakubwa kweli afu wanaona mama kutwa anachambana insta na kugombaniana bwanaMimi mwenyewe yaani. Kijibishana na mtu au watu niliowazidi umri siwezi. Naona kama napata fedheha. Bora ninyamaze nitunze utu uzima wangu.