Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,833
- 50,015
Watu wanaofata upepo utawajua tuu wanalazimisha kuwa acc ni ya mtu fulani kisa tuu anampinga wampendaeIla mbona uandishi wao hata haufanani?
Watu wanaofata upepo utawajua tuu wanalazimisha kuwa acc ni ya mtu fulani kisa tuu anampinga wampendaeIla mbona uandishi wao hata haufanani?
kama hukuona uchafu wa huyo Boss wako aliopost hilo ni kosa lako. Kuna Acc. Ina majungu na fitna kama ya huyo Zari? Wakati anamtukana Hamisa alikuwa anamkosea nino? Uhuni wa Bwana ake anawatukana watu wengine.Hadi mnapata kigugumizi kama boss wenu. Sijaomba mie nimewataka muweke ushahidi. Account ya zari haina uchafu wowpte ni yeye na familia yake pale bila kusahau kazi zake hakuna umbea wala ujingajinga
Mbona umejikita huko. Sijui kutukana na nini? Mange ni Mwandishi kama walivyo waandishi wengine.Na ana uandishi wake unaomtofautisha na wengine. Usilazimishe wafanane. Huyo Zari na Mange wakae watulie walee watoto. Maana kama ni upuuzi wote wamefanya.
Badala ya kumlambisha alikusudia kumlambisha yani kalamba yeye na kuyakomba kabisaaaaaaKituko cha mwaka,muandishi wa gazeti gani au media gani?mtamuita majina yooote mazuri mazuri ila ukweli ni kwamba yeye ndio mchokozi so lazima alambishwe matapishi yake
Zari aliona kaishiwa kiki ,watu hawamuongelei tena wakat yeye ndo furaha yake akaona aanzishe vagi na mange ......hahahahaha
Inshort atulie tu kulea watoto ,mama watoto 5 cjui anapata wapi mda wa kuanzia maugomvi insta na umri ulee
kama hukuona uchafu wa huyo Boss wako aliopost hilo ni kosa lako. Kuna Acc. Ina majungu na fitna kama ya huyo Zari? Wakati anamtukana Hamisa alikuwa anamkosea nino? Uhuni wa Bwana ake anawatukana watu wengine.
Sema asante numby ushapata shost wa kijipendekeza. This is JF bana
Badala ya kumlambisha alikusudia kumlambisha yani kalamba yeye na kuyakomba kabisaaaaaa
Nani anajipendekeza kwa nani na nani?
Kweli kuwa Msukule wa huyo Mganda naona unateseka.. Unachoandika hata hueleweki.Kituko cha mwaka,muandishi wa gazeti gani au media gani?mtamuita majina yooote mazuri mazuri ila ukweli ni kwamba yeye ndio mchokozi so lazima alambishwe matapishi yake
Anaficha makucha yake. Ujinga anaufanyia huko snapchatHadi mnapata kigugumizi kama boss wenu. Sijaomba mie nimewataka muweke ushahidi. Account ya zari haina uchafu wowpte ni yeye na familia yake pale bila kusahau kazi zake hakuna umbea wala ujingajinga
Anabaki kutafuta huruma ya Followers wake. Aliwazoea kina Missa.Badala ya kumlambisha alikusudia kumlambisha yani kalamba yeye na kuyakomba kabisaaaaaa
Hata mm nilishawahi sema hii bosslady ni klyn tu ......Huyu shosti mwingine anastress tupu,afu bado hajamove on yaan akiona domo yupo na mdada mwingine anaanza choko choko ili watu wampe attention !!!!! Atafute tu kibabu atulieMimi nashangaa hata hilo jina la Boss Lady sijui kwa nini analingangania? Awaachie kina K lyn tu. Maana umri na matendo yake hajielewi. Na anapenda Kiki sijawahi kuona.
Sina muda wa kuwa na Id mbili. Nimeku qoute ww ulichojibu. Umepanick ww muhahahaaaaaaa ndo maana unaongea kwa hasira sana kuita watu majina ambayo na ww uko mule mule hahaaaa
Msyuuuuu hahaaaaa najua hata wewe umejicheka hukoMakiseo na cajojo wanajopendekwza kwa numby babe numby le panic button
Uwiii tushatoka kwa mange tunahamia kwa chuchunge sidechick with sidekide bado kuja kwa wema eee?Zari bana anawalambishwa wengi vumbi
Unajichoresha aiseeHahahahaha kumpanikisha numby babe ngumu sana. Nacheza na step namnaifata kama mikia come on misukuleee
Hata mm nilishawahi sema hii bosslady ni klyn tu ......Huyu shosti mwingine anastress tupu,afu bado hajamove on yaan akiona domo yupo na mdada mwingine anaanza choko choko ili watu wampe attention !!!!! Atafute tu kibabu atulie