Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,862
Hivi huwa anajihusisha na mambo gani hasa ya maana yanayofanya mumfuatilie huyu Kimambe sijui!?
Basi huku kwetu Dodoma tuliogopa kipigo cha mbwa koko ktl kwa kamanda wetu mrotoMimi naishi mjin daslam na hapa Posta watu waliandamana,sijui kwanini haikutokea.
Labda ile kauli ya yule shekhe wa daslam inaanza kutimiaHuyu Dada sikuhuzi sijui amekuwaje dakika 2 anaitukuana familia ya msanii Diamond platnumz baada ya muda kidogo anasema anamtaka Diamond kimapenzi yaani anaonekana Yuko obsessed na Diamond
Either Diamond Amefanya Jambo zuri au baya yeye anatukana tu.
Kipindi anafanya harakati za siasa nilikuwa naona kama anajenga hoja Kama mtu mwenye utimamu lakini kwa sasa dishi channel zimekata
Anaboa kutudanganya kuandamana kumbe analakeMbona kama wachangiaji wote mko obsessed na huyo dada kama vile anakula yenu !!!
Acha sasa washikane vzr wote si wametukanana,wavuane nguo wachambaneee. Wanapokosea ni hapo kwa watoto.Alianza mange,wakati zari ana mimba ya tiffa,mange kumtukana vya kutosha,kajifungua tiffa mange kahamia kwa tiffa kamtukana mtoto na kumbambikizia mababa kibao,umesahau mkuu?mimba ya nillan aliiandama sana hadi kazaliwa bado anamtusi.
Wa kwake wanatukanwa sababu yeye anasimanga wa wenzie na kuwatafutia mababa kibao utadhan aliwashikia miguu wazazi wakati bao linaingia
Alianza Nani wewe kweli mgeni na Mange, Mange alianza kumtukana tiffah tangu yupo uturn akawa anasema mtoto wa katunzi kipindi hiko dam dam na Wema sepetu , akaja kuamia kwa Nilan , Zari hakuwahi kumjibu kuhusu watoto , juzi kaongea Mange anataka kuplay victim na wafuasi wake mazwazwa mnaamini Zari ndo kamuanzaAlianza nani kwani? Hapo mimi pia sijapenda kabisa. Japo na wake walitukanwa. By the way ni ujinga wa hali ya juu kutukana watt wdg kama wale malaika
UmeonaEti ndio huyu angenishawishi niandamane hahah,thubutuuuuu
Hebu nitokee hapo mimi sio mfuasi wa binadamu labda wewe ni mfuasi zwazwa wa Zari basi. Mimi sikuona hayo mambo utajuaje kama simu iliiibiwa ndo maana nimeona msg zari juzi nikajua kisa kimeanzia hapo. Kumbe na ww mwanaume unafuatilia udaku kwa wamama hivyo lolAlianza Nani wewe kweli mgeni na Mange, Mange alianza kumtukana tiffah tangu yupo uturn akawa anasema mtoto wa katunzi kipindi hiko dam dam na Wema sepetu , akaja kuamia kwa Nilan , Zari hakuwahi kumjibu kuhusu watoto , juzi kaongea Mange anataka kuplay victim na wafuasi wake mazwazwa mnaamini Zari ndo kamuanza
Acha sasa washikane vzr wote si wametukanana,wavuane nguo wachambaneee. Wanapokosea ni hapo kwa watoto.
Andika vzr basi typing error zimezidiHatutaki jumbe zake sku hiz tena kwa modi penyewe ataachika huko utumwani awe makini ile ni sukali ya watoto
Alianza Nani wewe kweli mgeni na Mange, Mange alianza kumtukana tiffah tangu yupo uturn akawa anasema mtoto wa katunzi kipindi hiko dam dam na Wema sepetu , akaja kuamia kwa Nilan , Zari hakuwahi kumjibu kuhusu watoto , juzi kaongea Mange anataka kuplay victim na wafuasi wake mazwazwa mnaamini Zari ndo kamuanza
Umbea achia kina mama wewe wa wapi ww?? Ukweli upi sasa kuna anaejua ukweli zaidi ya alieutoa mdomoni mwake?? Nyie wengine ni kuongeza au kupunguza chumvi.Umekosa hoja baada ya kuambiwa ukweli Nani alianza. Eti wacha watukanane