Mange Kimambi yupo obsessed na Diamond na familia yake kwa ujumla

Utashawishiwa kuandamana na MATATIZO yako wala siyo MANGE KIMAMBI, ni suala la muda tu.

Kwa sasa JIWE kakaba mpaka mnaishi kama digi digi, mmebakiza kuimba ASIFIWE JIWE ASIFIWE huko MAKANISANI na MISIKITINI.
Teh teh mkuu naona stress zako za kuimba #Kazi na bata unazihamishia kwangu,pambana na hali yako chief.

2020,Lissu all the way.
 
Wadau tunakumbushana tu amebakiza siku 23 tu - By Sheikh Alhad
MK.jpg
 
Huyu Dada sikuhuzi sijui amekuwaje dakika 2 anaitukuana familia ya msanii Diamond platnumz baada ya muda kidogo anasema anamtaka Diamond kimapenzi yaani anaonekana Yuko obsessed na Diamond
Either Diamond Amefanya Jambo zuri au baya yeye anatukana tu.
Kipindi anafanya harakati za siasa nilikuwa naona kama anajenga hoja Kama mtu mwenye utimamu lakini kwa sasa dishi channel zimekata
she is insane....wajinga tu ndio bado wanamsoma.
 
Hawa ndo w
Never underestimate the power of stupid people in large groups.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~George Carlin~~~~~~~~~~~~~

Tena hawa ndiyo wabaya sana kwasababu wanakuwa na mashabiki wengi wasiokuwa na kichwa wala miguu. Kule Uchina aliyemrudisha Mao Zedong madarakani mwaka 1966 kipindi cha The Curtural Revolution alikuwa ni mke wake Jiang Qing aliyekuwa mwigizaji wa filamu. Binafsi huwaga siwapuuzi watu wa hivi kwasababu they are reckless and volatile.
Anaoyuchagulia viongozi
 
Huyo mange Hana akili Ana wivu kwa maendeleo ya watu tofauti yake na shetani ni ndogo tu shetani haonekani but yeye anaonekana kwa macho lakini wote ni mashetani.
 
Back
Top Bottom