reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 11,900
- 27,922
tanga hatoki boyaaaMtanga nae kwani kilimuondoa nini na kinamrudisha nini bwana na kiuno chake kigumuuuu!!!! Hebu amuache mtoto Paula ajilie vyake
tanga hatoki boyaaaMtanga nae kwani kilimuondoa nini na kinamrudisha nini bwana na kiuno chake kigumuuuu!!!! Hebu amuache mtoto Paula ajilie vyake
Na atabeba mimba ya pili siku si nyingi...Paula apambane na shule tuVan boy mda mwingi alikuwa kwa paula mwisho akachoka kulala peke yake usiku akajiuongeza.
adabu A+eehhh!!!mmechekaAlikuaga anajiona pizza fahima mashauzi aaagrr, ila namsifu kajitahidi kuwa strong mbele ya dunia hajaonesha stress angekua ni mwingine hadi angechakaa, nadhani sahivi adabu itakua A+
YaapYule mtoto aliyekuja kutupiwa studio kwani sio mwanae!?
Ndio aache kujiona keki 😂😂😂 akizingua anatafutwa mtoto mbichi chap chaptanga hatoki boyaaa
Co-parenting jamani 😂😂😂😂huruma tena?muache apambane na wanaume wa Wasafi ndo atajua hajui!
Leo insta fahyma yuko na mwanawe anamuuliza tuko na nani,usiku huoo kanajibu 'na baba'...aliambiwa Paula akawa anaona watu wanamuonea wivu
Tunguli zimembamba moberoooo😁van boy,Chui anaenda kuwa ndondocha soon kama boss wake Simba 😀😀😀😀
Mambo ya aibu, kakolea mpaka anamlalia mwanaume mwenzie begani hapo katikati ya hadhara je ikiwa faragha inakuwaje.Hilo kumbato umelicheki lilivojaa hisia??? Mtu na kengele zake kajilaza kwa mwanaume mwenzie...anajiliza.
Si ndio hapo kulikua na haja gani ya kukumbatiana hivo hadharani, anyway ndio "penzi kikohozi"Mambo ya aibu, kakolea mpaka anamlalia mwanaume mwenzie begani hapo katikati ya hadhara je ikiwa faragha inakuwaje.
Gays are worse than pigs - nanukuu kauli ya late Robert Mugabe.
Sasa vipi ada ataendelea kulipa?Kale katoto nako kalijua Van boy atadumu nae Mtanga dawa zinamsaidia la sivyo
van boy,Chui anaenda kuwa ndondocha soon kama boss wake Simba
Wangekumbatiana gizani?Si ndio hapo kulikua na haja gani ya kukumbatiana hivo hadharani, anyway ndio "penzi kikohozi"
Shameless gays, laana tupu.Si ndio hapo kulikua na haja gani ya kukumbatiana hivo hadharani, anyway ndio "penzi kikohozi"
ChumbaniWangekumbatiana gizani?
Kweli kuipende nusu ya uchizi hawa wenzetu wameumbwa na roho za paka aisee mimi siwezi Usaliti niendelee na mahusiano hata nipende kiasi ganiNa atabeba mimba ya pili siku si nyingi...Paula apambane na shule tu
Masha na Muna walipata confirmation toka chuo gani hapo Uturuki? China, India, UAE (Dubai), Oman na Uturuki watu wanaenda kuuza vipochi waje kununua IST na iPhone.
Hujapenda wewee!ukipenda hauchi!Kweli kuipende nusu ya uchizi hawa wenzetu wameumbwa na roho za paka aisee mimi siwezi Usaliti niendelee na mahusiano hata nipende kiasi gani
Watajuana wenyewe acha warogwe maana wajinga sanaa!
Mix ya madawa mpaka awe ndondocha, Mtanga anapika ya kwake huku kwa student Kajala ndiyo anasimamia zoezi ili ada iendelee kulipwa.
Hapo kweli lazima ageuzwe ndondocha.
Labla sijawahi kupenda ila USALITI kamwe hata ikitokea nimependa mahaba niuwe aisee sitaweza kuendelea hata Mwanaume awe billionaire nitamuacha tu na sitageuka nyuma tenaHujapenda wewee!ukipenda hauchi!
Sasa fahyma bila ray zile bata za wasafi unafikiri anaanzia wapi?mbwembwe za kuvaa million 3!!status mjini,mabodigadi!!!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hahaaa!hongera Sanaa!!!Labla sijawahi kupenda ila USALITI kamwe hata ikitokea nimependa mahaba niuwe aisee sitaweza kuendelea hata Mwanaume awe billionaire nitamuacha tu na sitageuka nyuma tena