Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb

huruma tena?muache apambane na wanaume wa Wasafi ndo atajua hajui!
Leo insta fahyma yuko na mwanawe anamuuliza tuko na nani,usiku huoo kanajibu 'na baba'...aliambiwa Paula akawa anaona watu wanamuonea wivu
Co-parenting jamani 😂😂😂😂
 
Hilo kumbato umelicheki lilivojaa hisia??? Mtu na kengele zake kajilaza kwa mwanaume mwenzie...anajiliza.
Mambo ya aibu, kakolea mpaka anamlalia mwanaume mwenzie begani hapo katikati ya hadhara je ikiwa faragha inakuwaje.
Gays are worse than pigs - nanukuu kauli ya late Robert Mugabe.
 
Mambo ya aibu, kakolea mpaka anamlalia mwanaume mwenzie begani hapo katikati ya hadhara je ikiwa faragha inakuwaje.
Gays are worse than pigs - nanukuu kauli ya late Robert Mugabe.
Si ndio hapo kulikua na haja gani ya kukumbatiana hivo hadharani, anyway ndio "penzi kikohozi"
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kweli kuipende nusu ya uchizi hawa wenzetu wameumbwa na roho za paka aisee mimi siwezi Usaliti niendelee na mahusiano hata nipende kiasi gani
Hujapenda wewee!ukipenda hauchi!
Sasa fahyma bila ray zile bata za wasafi unafikiri anaanzia wapi?mbwembwe za kuvaa million 3!!status mjini,mabodigadi!!!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hujapenda wewee!ukipenda hauchi!
Sasa fahyma bila ray zile bata za wasafi unafikiri anaanzia wapi?mbwembwe za kuvaa million 3!!status mjini,mabodigadi!!!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Labla sijawahi kupenda ila USALITI kamwe hata ikitokea nimependa mahaba niuwe aisee sitaweza kuendelea hata Mwanaume awe billionaire nitamuacha tu na sitageuka nyuma tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom