MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,394
Bloga anayetegemewa kurudi bongo wakati wowote kuanzia leo ameanza kuandaa mazingira mazuri kwa wenyeji wake watakao mpokea bandarini baada ya kuwarushia maneno kadhaa kwamba wanauza sembe ambapo amekanusha taarifa hizo na kusema alikuwa akiaandika hivyo sababu ya pombe na shetani tuu na hivyo kuomba wamsamee mtanzania mwenzao.
Mwanamama huyo aliyekuwa na makazi yake mitaa ya LA ambaye tabia yake ya hata ukinunua Iphone6 anasema unauza madawa ameshindwa kuendelea kukaa mitaa hiyo ya land of the free baada ya kushindwa kulipia gharama za maisha na sponsor wake mkubwa kumwambia atafute the minimum wage job kwenye supermarket ambapo kwa umri wake ana nafas ndogo sana ya kufanikisha.
Naye aliyekuwa mbunge wa Afrika Mashariki anayeendesha kampeni yake ya 'Ulaya ni bomba ila Bongo is best" alipotafutwa atoe maoni yake alisema "yeye arudi tu bongo na kama atahitaji msaada wake yuko available kumhook up na masupa frends na kama atakuwa anaitaji supa Noah kwa ajili ya usafiri wa hapa na pale yuko tayari kumsaidia"'.
Mwanamama huyo aliyekuwa na makazi yake mitaa ya LA ambaye tabia yake ya hata ukinunua Iphone6 anasema unauza madawa ameshindwa kuendelea kukaa mitaa hiyo ya land of the free baada ya kushindwa kulipia gharama za maisha na sponsor wake mkubwa kumwambia atafute the minimum wage job kwenye supermarket ambapo kwa umri wake ana nafas ndogo sana ya kufanikisha.
Naye aliyekuwa mbunge wa Afrika Mashariki anayeendesha kampeni yake ya 'Ulaya ni bomba ila Bongo is best" alipotafutwa atoe maoni yake alisema "yeye arudi tu bongo na kama atahitaji msaada wake yuko available kumhook up na masupa frends na kama atakuwa anaitaji supa Noah kwa ajili ya usafiri wa hapa na pale yuko tayari kumsaidia"'.