Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
mkuu ulianza vizuri sna mwanzo but umemalizia vibaya thread yako, kuikosoa ccm ambacho ni chama kimekulea na mpaka leo hii unaijua JF ni makosa makubwa.
kwani kukulea kitu gani sembese mama au baba waloko na uchungu wa kila aina na mimi wanakosea na kuwakosoa sasa hii ccm ambayo sina hata undugu wala msaada wowote kwangu ntashindwa je kuikosoa!?