Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Niseme tu ukweli kwamba mimi sijawahi kumfanyia mtu ubaya na mara nyingi sana naambiwa nina roho nzuri na najiituma kwenye kazi.
Mimi ni mojawapo wa watu ninayependa kazi yangu ya kuhudumia wagonjwa, na wapo wengi sana nimejitoa hata wale walioonekana wana corona sikuwahi hata siku moja kumnyanyapaa hata moja niliyowasaidia wanajua ndani ya mioyo yao.
Na kwenye kazi yangu sikuwahi kuomba rushwa ili tu nimsaidie mtu hapana naamini wote ni sawa, ukinipa shukrani uwa nachukua ila nakuwa makini na anayenipa hiyo ela, mara nyingi sana macho haidanganyi nikikutazama kwenye jicho nafahamu hiyo ela haiwezi kuniletea shidaa.
Nimejaribu tu kuelezea tu ukweli jinsi nilivyo na kutowahi kumfanyia mtu ubaya.
Sasa kwa nini mimi mtu tena ninayemfahamu ambaye hata kwangu tena magetoni kwangu nilishawahi kumkaribisha kwa nini aniingize mkenge na kuniibia pesa zangu na kushirikiana na mtu wake ambaye kwa akili zangu napata picha ni mke wake.
Nafanya kazi ili nipate ela ila yeye anatumia njia anazojua na kuniibia fedha zangu.
Sasa natambua kuwa Mungu yupo na sijawahi kumfanyia mtu ubaya na hata kuiba pesa ya mtu sijawahi ,
Sitaki kwenda kwa mganga na sitaenda kwa sababu sifungamani katika hayo mambo , naamini Mungu hata niacha kwa kuwa nilipiga magoti na kumlilia Mungu sana kwa nini nifanyiwe hivi wakati mimi sijamfanyia mtu ubaya, kwa nini mimi nifanyiwe hivi na mtu ninayemjua?
Hitimisho , nimetamka maneno mazito sana juu yake naamini hayatapita bure
Na labda tu mpaka pale atakapo kuja kuniombaa msamaha maana nimeanza kuona majibu yake.
Niseme tu usimfanyie mtu ubaya kwa mtu ambaye hajawahi kumfanyia mtu mwingine kitu kibaya.
Maneno yangu yana nguvu sana na nimeanza kuona matokeo yake.
Mimi ni mojawapo wa watu ninayependa kazi yangu ya kuhudumia wagonjwa, na wapo wengi sana nimejitoa hata wale walioonekana wana corona sikuwahi hata siku moja kumnyanyapaa hata moja niliyowasaidia wanajua ndani ya mioyo yao.
Na kwenye kazi yangu sikuwahi kuomba rushwa ili tu nimsaidie mtu hapana naamini wote ni sawa, ukinipa shukrani uwa nachukua ila nakuwa makini na anayenipa hiyo ela, mara nyingi sana macho haidanganyi nikikutazama kwenye jicho nafahamu hiyo ela haiwezi kuniletea shidaa.
Nimejaribu tu kuelezea tu ukweli jinsi nilivyo na kutowahi kumfanyia mtu ubaya.
Sasa kwa nini mimi mtu tena ninayemfahamu ambaye hata kwangu tena magetoni kwangu nilishawahi kumkaribisha kwa nini aniingize mkenge na kuniibia pesa zangu na kushirikiana na mtu wake ambaye kwa akili zangu napata picha ni mke wake.
Nafanya kazi ili nipate ela ila yeye anatumia njia anazojua na kuniibia fedha zangu.
Sasa natambua kuwa Mungu yupo na sijawahi kumfanyia mtu ubaya na hata kuiba pesa ya mtu sijawahi ,
Sitaki kwenda kwa mganga na sitaenda kwa sababu sifungamani katika hayo mambo , naamini Mungu hata niacha kwa kuwa nilipiga magoti na kumlilia Mungu sana kwa nini nifanyiwe hivi wakati mimi sijamfanyia mtu ubaya, kwa nini mimi nifanyiwe hivi na mtu ninayemjua?
Hitimisho , nimetamka maneno mazito sana juu yake naamini hayatapita bure
Na labda tu mpaka pale atakapo kuja kuniombaa msamaha maana nimeanza kuona majibu yake.
Niseme tu usimfanyie mtu ubaya kwa mtu ambaye hajawahi kumfanyia mtu mwingine kitu kibaya.
Maneno yangu yana nguvu sana na nimeanza kuona matokeo yake.