dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 615
Ni hivi kuna msichana anaedai ye ni bikra.nasema anadai sababu sijawah kuhakikisha,kwani kila nikimuita geto huwa hataki,anasema kuku wako mwenyeqe manati ya nini.OK nikaona isiwe kesi, sasa Jana kanitumia SMS Kali sana.anasema mi sijui kujali eti nikajifunze kwa watu waliooa au wenye wachumba ili nijue wanaishi VP na wake au wachumba zao.nilipomuuliza amejuaje kama simjali akasema hua anaangalia jinsi Dada ake anacoishi na mke wake.anaomba nimsamehe.wadau naombeni ushauri please