Maneno ya Ujumbe wa Mh. Zitto kwa Viongozi Maswi na Prof. Muhongo hauna maadili ya Uongozi!

Put yourself in ZZK shoes. Kama unauhakika kuwa hujachukua pesa alafu mtu anakupakazia uongo mkubwa kama hivi utatumia lugha gani kufikisha ujumbe wako. Mimi hapa sioni tatizo as long as hajachukua hiyo pesa. Maneno ya mheshimiwa mheshimiwa ndo yanatufanya kuwa na nidhamu wa woga.

Excuse me, I'm putting my seal on this message!
 
Katika Gazeti la leo la Majira kuna ujumbe unaodaiwa kuandikwa na Mh. ZZK kwenda kwa Katibu Mkuu wa Nishati na Waziri Mhusika wa Wizara Bw. Maswi na Prof. Muhongo.

Naomba kuunukuu
"Maswi, sijawahi gombana na wewe kwa kuwa nakuheshimu sana, tuhuma ambazo wewe na Waziri wako mnatoa dhidi yangu ni uwongo, uzushi na za kupikwa.

Mwambie Waziri wako na wewe binafsi, sijawahi kushindwa vita ya kulinda credibility yangu, sipendi ujinga hata kidogo, mimi nina uhuru wa kusema ninachoamini, sina bei tupambane tu tuone nani ataumia,"


Hebu tuchambue busara ya kiongozi iko wapi katika maandishi hayo katika mizani za kawaida pasipo ushabiki?.Naamini kama ZZK amepata washauri wake pengine ni SHETANI pasipo shaka.

Chief Mbona huu ujumbe haupo kwenye Majira la leo?
 
dogo kakosea tena

yeye ni chembe tu... akina maswi wako na serikali... haijawahi tokea an individual kupambana na serikali na kushindwa, hasa mtu mwenyewe akiwa na ego na pia akiwa a lone ranger, no matter how good he/she is

ZZK kuna sehemu kateleza, badala ya kuiangalia, yuko bize kupambana na utelezi na kulaumu mvua

RETREAT IS THE BEST THING FOR NOW
Anaweza kushinda maana yuko backed na mafisadi ambao ni powerful kuliko serikali na ndio walioweka serikali hii madarakani kwa pesa ya ufisadi ndio maana Zitto anajiamini atawashinda akina Maswi na Muhongo!
 
dogo kakosea tena

yeye ni chembe tu... akina maswi wako na serikali... haijawahi tokea an individual kupambana na serikali na kushindwa, hasa mtu mwenyewe akiwa na ego na pia akiwa a lone ranger, no matter how good he/she is

ZZK kuna sehemu kateleza, badala ya kuiangalia, yuko bize kupambana na utelezi na kulaumu mvua

RETREAT IS THE BEST THING FOR NOW


Hapo kwenye RED maneno yako ni kweli kuwa Zitto yupo peke yake chama hakimpi/hakitampa ushirikiano? Kuna wakati nilikuwa nalihisi hili nilikuwa nahisi ndani ya CDM Zitto yupo kama Zitto ila viongozi wengine wanakuwa pamoja na wenzao. Hata ukiangalia umaarufu wa baadhi ya wabunge wa cdm ambao ndio mara yao ya kwanza kuingia mjengoni utagundua kitu kimoja tu! wana back up ya chama na hii inafanya mbunge kama zitto kufunikwa!

Na chama kimejizatiti hasa maana si tunajionea humu jf Zitto anavyoshambuliwa utandani Zitto Kabwe ni mtoto wa kambo kwenye chama!

Siwezi kumshambulia kiongozi yeyeote wa kisiasa eti kwakuwa anautaka urais! mtu anapoingia kwenye siasa anakuwa na ambitions zake jamani! wazungu wanasema if you cry for moon you might end up getting skies! mwacheni Zitto autake Urais pengine anaweza akaukosa na kujikuta anaukwaa UPM!
 
Katika Gazeti la leo la Majira kuna ujumbe unaodaiwa kuandikwa na Mh. ZZK kwenda kwa Katibu Mkuu wa Nishati na Waziri Mhusika wa Wizara Bw. Maswi na Prof. Muhongo.

Naomba kuunukuu
“Maswi, sijawahi gombana na wewe kwa kuwa nakuheshimu sana, tuhuma ambazo wewe na Waziri wako mnatoa dhidi yangu ni uwongo, uzushi na za kupikwa.

Mwambie Waziri wako na wewe binafsi, sijawahi kushindwa vita ya kulinda credibility yangu, sipendi ujinga hata kidogo, mimi nina uhuru wa kusema ninachoamini, sina bei tupambane tu tuone nani ataumia,”


Hebu tuchambue busara ya kiongozi iko wapi katika maandishi hayo katika mizani za kawaida pasipo ushabiki?.Naamini kama ZZK amepata washauri wake pengine ni SHETANI pasipo shaka.

Ivi kwani ZZK amehusishwaje kwa mwenye taarifa zaidi?? Maana nisije nikawa naendelea kuchangia nikaonekana ni mshabiki?? Yeye ni wa POAC, nini na kwa kiasi gani anahusishwa na rushwa ka TANESCO?? ni suala la kufanya nao biashara? au cash kapokea? na kapokea kwa misingi gani?? Yaani amtetee Muhando au TANESCO ilikuwa inafanya vizuri??
Mwenye maelezo ya kina tafadhali
 
Just for curiosity...

Nadhani bei ya hummer inaweza kuzidi tshs 200m...na mh. Zzk anamiliki mojawapo kati ya hiyo-minyundo michache hapa mjini...cijui amewezaje na kwa vyanzo gani vya mapato...

Nimeuliza tuu ili nijuwe vizuri....maana unamtambua aliyeokoka kwa matendo na unaweza kumtambua mla rushwa kwa mapato makubwa nje ya mshahara halali...

Samahani kama nitakuwa nimemkwaza mtu.
 
Kiherehere mbona unatia aibu?maswali gani unauliza jamvi?.kama haupo updated unapotezea na kuchangia mada ulizo conversant nazo.unaonekana wewe siyo Mtz.
 
Last edited by a moderator:
Unajua Tatizo ni mwanasiasa,Na tatizo kubwa la wanasiasa ni kwamba wao wenyewe ni sehemu ya package,Ila ZZK inabidi aangalie namna anavyopeleka game kwa sababu tumemtuma huko kujenga taifa sasa style yake inanipa wasiwasi hasa nikiangalie trend yake..................nafikiri inbaidi ajue kuwa integrity matters na kama kakosea lazima aambiwe/atambue kisha ajisafishe...Muungwana ni vitendo bwana.......
 
Kiherehere mbona unatia aibu?maswali gani unauliza jamvi?.kama haupo updated unapotezea na kuchangia mada ulizo conversant nazo.unaonekana wewe siyo Mtz.

Kanga, ujue angalau anaeuliza kuliko yule ambaye anachangia tu kuonekana kuwa anachangia.

Sakata hili nalijua ila sio kiundani maana sikuangalia bunge (sipati nafasi ya hata kuangalia TV) na nimekuwa nikisikia tu na kisoma kwenye vyombo vya habari. Na mimi naona kama vyombo vya habari vinaishia juu juu tu.

Ninachojua:-

ZZK anatuhumuwa kuchukua au kupokea mulungula au anafanya biashara na TANESCO (correct me if am wrong bro!!)

Swali langu/details ambazo sijazijua...

1.Tuhuma dhidi yake...ni kwamaba kapokea kwa nani?? Kahongwa na nani?
2.Kwa faida ya nani??
3.Kapokea kiasi gani?
4.Na yeye kaonekana vipi kuwa involved.

NA KAMA NI BIASHARA, ambayo inaweza kumfanya akawa na interest na uongozi uliosomamishwa wa TANESCO..

1.Ni biashara gani?? na yote haya yanakuja kwa kuwa sijaweza kuunganisha ushiriki wake katika kamati ya Nishati/madini na POAC ambayo yeye ni mwenyekiti. (ingawa najua POAC inasimamia TANESCO kama shrka la Umma.)

Nisaidie hayo KANGA ili niende pamoja nawe.

Kuuliza sio ujinga...ila nikijifanya mjuaji wakati sijajua jambo kwa undani....UCHANGIAJI WANGU NDO UTAONEKA NI UJIJGA.
 
Katika Gazeti la leo la Majira kuna ujumbe unaodaiwa kuandikwa na Mh. ZZK kwenda kwa Katibu Mkuu wa Nishati na Waziri Mhusika wa Wizara Bw. Maswi na Prof. Muhongo.

Naomba kuunukuu

“Maswi, sijawahi gombana na wewe kwa kuwa nakuheshimu sana, tuhuma ambazo wewe na Waziri wako mnatoa dhidi yangu ni uwongo, uzushi na za kupikwa.

Mwambie Waziri wako na wewe binafsi, sijawahi kushindwa vita ya kulinda credibility yangu, sipendi ujinga hata kidogo, mimi nina uhuru wa kusema ninachoamini, sina bei tupambane tu tuone nani ataumia,”


Hebu tuchambue busara ya kiongozi iko wapi katika maandishi hayo katika mizani za kawaida pasipo ushabiki?.Naamini kama ZZK amepata washauri wake pengine ni SHETANI pasipo shaka.

Tutaachaje ushabiki wakati uzi wako we mwenyewe umeujaza maneno ya kishabiki,DHAIFU WE!
 
Just for curiosity...

Nadhani bei ya hummer inaweza kuzidi tshs 200m...na mh. Zzk anamiliki mojawapo kati ya hiyo-minyundo michache hapa mjini...cijui amewezaje na kwa vyanzo gani vya mapato...

Nimeuliza tuu ili nijuwe vizuri....maana unamtambua aliyeokoka kwa matendo na unaweza kumtambua mla rushwa kwa mapato makubwa nje ya mshahara halali...

Samahani kama nitakuwa nimemkwaza mtu.

Kwangu mimi ni swali la muhimu, linalohitaji majibu....ila watakuja hapa wasiotaka kuunganisha dot...watakwambia unaingilia maisha binafsi..

Ningependa kujua...ila wacha nami nisubiri......
 
Tusubiri uchunguzi. Kashfa ni kubwa, na wahusika lazima hatua kali za kisheria zifuate, haijalishi mla rushwa atatoka chama gani, haijalishi gharama za uchaguzi kwa majimbo yote yatakayoguswa, kujiuzulu ubunge iwe lazima, na waende mahakamani bila kinga ya bunge. Wametuibia sana.
 
Just for curiosity...

Nadhani bei ya hummer inaweza kuzidi tshs 200m...na mh. Zzk anamiliki mojawapo kati ya hiyo-minyundo michache hapa mjini...cijui amewezaje na kwa vyanzo gani vya mapato...

Nimeuliza tuu ili nijuwe vizuri....maana unamtambua aliyeokoka kwa matendo na unaweza kumtambua mla rushwa kwa mapato makubwa nje ya mshahara halali...

Samahani kama nitakuwa nimemkwaza mtu.


[h=2]Hummer H2 6.2 V8 LUXURY 5DR AUTO[/h] £12,990

[h=3]2003 (52 reg), 4x4[/h] Trade seller, distance: 0 miles



  • 55,000 miles
  • Automatic
  • 6.0L
  • Petrol


5 Doors, Automatic, Estate, Petrol, 55,000 miles, Metallic Black, MOT-07-2013. STUNNING EXAMPLE HUMMER H2 6,2LITRE V8 TURNS HEADS WHEREVER IT GOES WITH ITS
 
Kwangu mimi ni swali la muhimu, linalohitaji majibu....ila watakuja hapa wasiotaka kuunganisha dot...watakwambia unaingilia maisha binafsi..

Ningependa kujua...ila wacha nami nisubiri......

Yaani na wewe unaamini kuwa lile hammer la ZZK linauzwa 200 M? kwa taarifa yako Toyota Land Cruiser ya 2008 ni ghali kuliko ile hammer ya ZZK Toyota LC inafika mpaka dola 60,000 FOB wakati lile Hammer unaweza kulipata dola 20,000.

Acheni propaganda zisicho na msingi pigeni kazi kujenga chama.
 
Mmh! wazee wa wizara yacje yakawakumba yaliyomkuta Mudhihiri...au wadau mmesahau...haya chezea mwisho wa reli weye......
 
Back
Top Bottom